Al-Jazeera: Tanzania govt relocates its capital from the port city of Dar es Salaam to Dodoma

Nadhani tatizo kubwa lipo kwenye matumizi ya lugha ya kiingereza,
Walimu wetu wengi sio wale creme de creme inabidi watu wanaofaulu ndio waende taaluma ya ualimu.
Historical background na taboos mfano sasa hivi hata aje msukuma dsm atakuwa na tabia kama mtu wa pwani na tanga za umbeya uvivu, kukaa vibarazani kwemye fremu za watu kuongea unafiki siku nzima, hata bodaboda ukifika vijiweni kwao ni unafiki siku nzima ndio order of the day.
Serikali TCRA ni lazima i control content ya media vipindi vyetu vingi sasa kuanzia miaka ya 2000 ni majungu, matusi,starehe,singeli,miziki 24hrs, hebu tutazamae tv za kenya,South africa hata redio vipindi vinajenga sana kizazi kuwa creative and focused. Leo tena, zembwela, xxl,kina monalisa hakuna vitu vya maana zaidi ya story za maisha ya watu lowlife, mtu kafumaniwa,kakataa mtoto, shilawadu likes

Kwa muenendo huu tusitegemee kupata kizazi chenye skills. Wanafunzi watadesa mitihani ili wapate vyeti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatari,kuna haja TCRA iwalazimishe wawe na minimum number of graduates,na iwalazimishe wanaojihusisha na utafutaji habari wawe na minimum qualification kwenye mambo ya habari,may be form four na cheti cha journalism,awe repota au laa,kuna mmoja geita alikuwa mpiga picha za harusi,na kabla alikuwa msagishaji kwenye mashine za mpunga,mweusi tiii nafikiri kwa sababu ya zile mashine za enzi zile za dizeli
Ile sheria ya vyombo vya Habari iliyikua inapingwa kwa nguvu zote ndo ina mambo yote haya. Lengo lake ilikua ni kuwaondoa makanjanja kwenye tasnia ya Habari
reporters wengi wa tanzania hasa tv,walikuwa wapiga picha za harusi,wengine walikuwa wanasagisha mashine za unga, ma mc wa harusi hivyo hawana elimu na weledi pia,

al jazeera hawapokei pokei habari tu,hata anayezitoa lazima awe na vigezo.

kuna ma RIPOTA wa ITV ambao nikiweka CV zao humu utaomba ndimu ili usitapike


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tatizo kubwa lipo kwenye matumizi ya lugha ya kiingereza,
Walimu wetu wengi sio wale creme de creme inabidi watu wanaofaulu ndio waende taaluma ya ualimu.
Historical background na taboos mfano sasa hivi hata aje msukuma dsm atakuwa na tabia kama mtu wa pwani na tanga za umbeya uvivu, kukaa vibarazani kwemye fremu za watu kuongea unafiki siku nzima, hata bodaboda ukifika vijiweni kwao ni unafiki siku nzima ndio order of the day.
Serikali TCRA ni lazima i control content ya media vipindi vyetu vingi sasa kuanzia miaka ya 2000 ni majungu, matusi,starehe,singeli,miziki 24hrs, hebu tutazamae tv za kenya,South africa hata redio vipindi vinajenga sana kizazi kuwa creative and focused. Leo tena, zembwela, xxl,kina monalisa hakuna vitu vya maana zaidi ya story za maisha ya watu lowlife, mtu kafumaniwa,kakataa mtoto, shilawadu likes

Kwa muenendo huu tusitegemee kupata kizazi chenye skills. Wanafunzi watadesa mitihani ili wapate vyeti

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu umenena hata PhD zinazotolewa nchin zinatia mashaka bin wasiwasi
 
Back
Top Bottom