FUKO LA DHIKI
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 463
- 145
Yote kwa yote tunamuomba mwenyezi Mungu atuokoe na janga hili ila kumbukeni kuwa Mungu yu mwema kwa wote hapa duniani si Tanzania pekeeyetu masikio wala hatuna maamuzi,tunashindwa kuegemea upande wowote ule ama serikali au mashirika ya kimataifa mfano WHO