UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,605
Wakati wa uchaguzi watanzania wote waliungana na huyo mtu mmoja kwenye mitazamo yake kuhusu corona,baada ya uchaguzi kuisha ndio wanaona huyo mtu anawafanya kuonekana watanzani wajinga.Rais ashauriwe aache kuropoka. Hivi mtu gani asiye na aibu? Sasa hivi watanzania wote tunaonekana machizi, majuha, mahayawani yasiyojielewa sababu ya upumba.vu wa mtu mmoja