Al Ahly FC Wametufundisha Mpira, Bahati ilitubeba ila marekebisho yafuatayo yakifanyika Simba SC inaweza Kuwatoa AFL tarehe 24 Oktoba,2023

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,173
Ukibisha unataka tu Kubisha ila Al Ahly FC wako dunia yao Kimpira kwani Wanajua na wataendelea Kuujua kutokana na Kujipanga Kwao katika kila Sekta.

Kama si bahati jana ( na nahisi hata Babu yetu wa Kiutamaduni namaanisha Mganga wa Kienyeji ) alitusaidia mno kwani tulikoswakoswa zaidi ya mara Nne Kipindi cha Kwanza na kama yote yale yangeingia na ukajumlisha na Mawili yao Matokeo yangekuwa ni 6 - 2 na Shughuli ingeishia hapa hapa Benjamin Mkapa Stadium Dar es Salaam Tanzania.

Hata hivyo Simba SC nao wamejitahidi kuonyesha kuwa katika Ukanda huu hakuna wa Kuwafikia na nitashangaa kuona Timu zingine Kubwa za huu Ukanda zisipojifunza kutoka kwa Simba SC kwani Kucheza na Vilabu Vikubwa Barani Afrika ( tena kutoka kwa Waarabu ) na Kuwamudu Kimatokeo si Kitu chepesi bali Maandalizi ya uhakika pamoja na Kujipanga kunahitajika sana.

GENTAMYCINE nasema endapo tu Wachezaji wa Simba SC wakiamua Kucheza Mpira wa pamoja, kuepuka Makosa ya Kitoto, kupunguza Papara, Concetration na Marking yao ikiwa ni ya 100%, wasipotegeana na kuwa Wavivu nina uhakika Jumanne ( tarehe 24 Oktoba, 2023 ) Simba SC inaenda Kuitoa Al Ahly FC katika Mashindano haya ya AFL huko huko Kwao nchini Misri.

Pongezi nyingi kwa Wachezaji wa Simba SC kwa Kujitahidi kujitoa Kuipambania Klabu ili Mapungufu yafanyiwe Kazi upesi, wasilaumiane, watiane moyo, wajiamini kwani dalili za Simba SC kuwatoa Al Ahly FC huko Kwao katika Mechi ya marudiano naziona na Afrika pamoja na Dunia haitoamini.
 
Ukibisha unataka tu Kubisha ila Al Ahly FC wako dunia yao Kimpira kwani Wanajua na wataendelea Kuujua kutokana na Kujipanga Kwao katika kila Sekta.

Kama si bahati jana ( na nahisi hata Babu yetu wa Kiutamaduni namaanisha Mganga wa Kienyeji ) alitusaidia mno kwani tulikoswakoswa zaidi ya mara Nne Kipindi cha Kwanza na kama yote yale yangeingia na ukajumlisha na Mawili yao Matokeo yangekuwa ni 6 - 2 na Shughuli ingeishia hapa hapa Benjamin Mkapa Stadium Dar es Salaam Tanzania.

Hata hivyo Simba SC nao wamejitahidi kuonyesha kuwa katika Ukanda huu hakuna wa Kuwafikia na nitashangaa kuona Timu zingine Kubwa za huu Ukanda zisipojifunza kutoka kwa Simba SC kwani Kucheza na Vilabu Vikubwa Barani Afrika ( tena kutoka kwa Waarabu ) na Kuwamudu Kimatokeo si Kitu chepesi bali Maandalizi ya uhakika pamoja na Kujipanga kunahitajika sana.

GENTAMYCINE nasema endapo tu Wachezaji wa Simba SC wakiamua Kucheza Mpira wa pamoja, kuepuka Makosa ya Kitoto, kupunguza Papara, Concetration na Marking yao ikiwa ni ya 100%, wasipotegeana na kuwa Wavivu nina uhakika Jumanne ( tarehe 24 Oktoba, 2023 ) Simba SC inaenda Kuitoa Al Ahly FC katika Mashindano haya ya AFL huko huko Kwao nchini Misri.

Pongezi nyingi kwa Wachezaji wa Simba SC kwa Kujitahidi kujitoa Kuipambania Klabu ili Mapungufu yafanyiwe Kazi upesi, wasilaumiane, watiane moyo, wajiamini kwani dalili za Simba SC kuwatoa Al Ahly FC huko Kwao katika Mechi ya marudiano naziona na Afrika pamoja na Dunia haitoamini.

Ila mashabiki wa simba mnapenda sana kujisifu na vitu vya kijinga. Yanga hana cha kukifunza kutoka simba waarabu ameshacheza nao wakiwemo hao Al Ahly na kuwafunga. Kwahiyo hizo porojo hazina manufaa. Wapumbavu wengi wakiwemo wachambuzi ingekuwa sare ametoka yanga saa hzi huon hzi sifa bali kuwaponda yanga. Refer Oruma last season kwenye confederation. Kwahyo we mwanamke nakuambia simba hawana jipya zaidi ya porojo. Katika mechi za 3 za mwishoza kimataifa msimu huu Simba hajashinda mechi yoyote zaidi ya kutoa sare. Ilihali yanga ameshinda mechi 2 zote za mwisho sasa nani anapswa kujifunza kwa mwenzie?
 
Ila mashabiki wa simba mnapenda sana kujisifu na vitu vya kijinga. Yanga hana cha kukifunza kutoka simba waarabu ameshacheza nao wakiwemo hao Al Ahly na kuwafunga. Kwahiyo hizo porojo hazina manufaa. Wapumbavu wengi wakiwemo wachambuzi ingekuwa sare ametoka yamga saa hzi huon hzi sifa bali kuwaponda yanga. Refer Oruma last season kwenye confederation. Kwahyo we mwanamke nakuambia simba hawana jipya zaidi ya porojo. Katika mechi za 3 za mwisho msimu huu Simba hajashinda mechi yoyote zaidi ya kutoa sure. Ilihali yanga ameshinda mechi 2 zote za mwisho sasa nani anapswa kujifunza kwa mwenzie?
Are you sure that you're Okay Mentally?
 
Ila mashabiki wa simba mnapenda sana kujisifu na vitu vya kijinga. Yanga hana cha kukifunza kutoka simba waarabu ameshacheza nao wakiwemo hao Al Ahly na kuwafunga. Kwahiyo hizo porojo hazina manufaa. Wapumbavu wengi wakiwemo wachambuzi ingekuwa sare ametoka yanga saa hzi huon hzi sifa bali kuwaponda yanga. Refer Oruma last season kwenye confederation. Kwahyo we mwanamke nakuambia simba hawana jipya zaidi ya porojo. Katika mechi za 3 za mwishoza kimataifa msimu huu Simba hajashinda mechi yoyote zaidi ya kutoa sare. Ilihali yanga ameshinda mechi 2 zote za mwisho sasa nani anapswa kujifunza kwa mwenzie?
Wewe Jamaa upo Tanzania kweli? Una uhakika Simba katoa sare kwenye match tatu za Mwisho. Acha uongo, huyu GENTAMYCIME kachambua vizuri hajangalia upande hata mmoja.
 
Ukibisha unataka tu Kubisha ila Al Ahly FC wako dunia yao Kimpira kwani Wanajua na wataendelea Kuujua kutokana na Kujipanga Kwao katika kila Sekta.

Kama si bahati jana ( na nahisi hata Babu yetu wa Kiutamaduni namaanisha Mganga wa Kienyeji ) alitusaidia mno kwani tulikoswakoswa zaidi ya mara Nne Kipindi cha Kwanza na kama yote yale yangeingia na ukajumlisha na Mawili yao Matokeo yangekuwa ni 6 - 2 na Shughuli ingeishia hapa hapa Benjamin Mkapa Stadium Dar es Salaam Tanzania.

Hata hivyo Simba SC nao wamejitahidi kuonyesha kuwa katika Ukanda huu hakuna wa Kuwafikia na nitashangaa kuona Timu zingine Kubwa za huu Ukanda zisipojifunza kutoka kwa Simba SC kwani Kucheza na Vilabu Vikubwa Barani Afrika ( tena kutoka kwa Waarabu ) na Kuwamudu Kimatokeo si Kitu chepesi bali Maandalizi ya uhakika pamoja na Kujipanga kunahitajika sana.

GENTAMYCINE nasema endapo tu Wachezaji wa Simba SC wakiamua Kucheza Mpira wa pamoja, kuepuka Makosa ya Kitoto, kupunguza Papara, Concetration na Marking yao ikiwa ni ya 100%, wasipotegeana na kuwa Wavivu nina uhakika Jumanne ( tarehe 24 Oktoba, 2023 ) Simba SC inaenda Kuitoa Al Ahly FC katika Mashindano haya ya AFL huko huko Kwao nchini Misri.

Pongezi nyingi kwa Wachezaji wa Simba SC kwa Kujitahidi kujitoa Kuipambania Klabu ili Mapungufu yafanyiwe Kazi upesi, wasilaumiane, watiane moyo, wajiamini kwani dalili za Simba SC kuwatoa Al Ahly FC huko Kwao katika Mechi ya marudiano naziona na Afrika pamoja na Dunia haitoamini.
Timu pekee itakayoleta heshima Tanzania ni Yanga, utake usitake ndio ivyo. Tofautisha kucheza kwa morali au kukamia na kucheza kiufundi.

Tofautisha kuwa na kikosi Bora na kuwa na Bora kikosi cha unga unga mwana!

Mechi ya jana mumshukuru Sangoma wenu alifanya kazi yake vizuri na sio eti ni uwezo wa Simba. Uwezo wa kumtoa Al Ahly kwao ni sawa na kujitekenya na kucheka mwenyewe. Huku mmesaidiwa na Mganga, vipi kule mtaenda nae? Na vipi wao watawaruhusu mfanye ujinga wenu kwao? Majibu mnayo!

Ukiwa na kikosi kilichosheheni vibabu halafu uvichezeshe mechi ngumu mbili mfululizo ndani ya siku 4 tena vikiwa vimesafiri safari ndefu nafikiri jibu unalo kinachoenda kutokea na sub zako ndio hao kina John Boko, hapo patamu!
 
Wewe Jamaa upo Tanzania kweli? Una uhakika Simba katoa sare kwenye match tatu za Mwisho. Acha uongo, huyu GENTAMYCIME kachambua vizuri hajangalia upande hata mmoja.

Uongo wangu nini? Mechi na power dynamos mliwafunga? Si simba alitoka 2-2 ugenini akaja kutoka 1-1 nyumbani na jama mmetoa sare na Al ahly zinakuwa ngapi? Yaani sisi tujifunze kwa watoa sare? Nyie pambaneni na hali zenu kimsingi sisi tumecheza fainali za shirikisho na tunamtafta mwzi kimya kimya caf champions league
 
Ukibisha unataka tu Kubisha ila Al Ahly FC wako dunia yao Kimpira kwani Wanajua na wataendelea Kuujua kutokana na Kujipanga Kwao katika kila Sekta.

Kama si bahati jana ( na nahisi hata Babu yetu wa Kiutamaduni namaanisha Mganga wa Kienyeji ) alitusaidia mno kwani tulikoswakoswa zaidi ya mara Nne Kipindi cha Kwanza na kama yote yale yangeingia na ukajumlisha na Mawili yao Matokeo yangekuwa ni 6 - 2 na Shughuli ingeishia hapa hapa Benjamin Mkapa Stadium Dar es Salaam Tanzania.

Hata hivyo Simba SC nao wamejitahidi kuonyesha kuwa katika Ukanda huu hakuna wa Kuwafikia na nitashangaa kuona Timu zingine Kubwa za huu Ukanda zisipojifunza kutoka kwa Simba SC kwani Kucheza na Vilabu Vikubwa Barani Afrika ( tena kutoka kwa Waarabu ) na Kuwamudu Kimatokeo si Kitu chepesi bali Maandalizi ya uhakika pamoja na Kujipanga kunahitajika sana.

GENTAMYCINE nasema endapo tu Wachezaji wa Simba SC wakiamua Kucheza Mpira wa pamoja, kuepuka Makosa ya Kitoto, kupunguza Papara, Concetration na Marking yao ikiwa ni ya 100%, wasipotegeana na kuwa Wavivu nina uhakika Jumanne ( tarehe 24 Oktoba, 2023 ) Simba SC inaenda Kuitoa Al Ahly FC katika Mashindano haya ya AFL huko huko Kwao nchini Misri.

Pongezi nyingi kwa Wachezaji wa Simba SC kwa Kujitahidi kujitoa Kuipambania Klabu ili Mapungufu yafanyiwe Kazi upesi, wasilaumiane, watiane moyo, wajiamini kwani dalili za Simba SC kuwatoa Al Ahly FC huko Kwao katika Mechi ya marudiano naziona na Afrika pamoja na Dunia haitoamini.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Uongo wangu nini? Mechi na power dynamos mliwafunga? Si simba alitoka 2-2 ugenini akaja kutoka 1-1 nyumbani na jama mmetoa sare na Al ahly zinakuwa ngapi? Yaani sisi tujifunze kwa watoa sare? Nyie pambaneni na hali zenu kimsingi sisi tumecheza fainali za shirikisho na tunamtafta mwzi kimya kimya caf champions league
Mzee mbona unaongea huku unaogopa.... ball la jana kila mtu kaona, itaitaitajika miaka 100 ili levels za jana zifikiwe na kilabu chochote Africa mashariki na kati.
 
Naunga mkono hoja 👍👏
Ila mashabiki wa simba mnapenda sana kujisifu na vitu vya kijinga. Yanga hana cha kukifunza kutoka simba waarabu ameshacheza nao wakiwemo hao Al Ahly na kuwafunga. Kwahiyo hizo porojo hazina manufaa. Wapumbavu wengi wakiwemo wachambuzi ingekuwa sare ametoka yanga saa hzi huon hzi sifa bali kuwaponda yanga. Refer Oruma last season kwenye confederation. Kwahyo we mwanamke nakuambia simba hawana jipya zaidi ya porojo. Katika mechi za 3 za mwishoza kimataifa msimu huu Simba hajashinda mechi yoyote zaidi ya kutoa sare. Ilihali yanga ameshinda mechi 2 zote za mwisho sasa nani anapswa kujifunza kwa mwenzie?
 
Huu ushauri wako ni mzuri bwana Mkunyubenga,ila hapa ni nani ataona?

Huwa unajinasibu kwamba wewe ni Game Changer,nadhani U'r Suppose to Change the game before the game day in Cairo!

Nenda kaonane na Wahusika wa Timu yako pendwa then wape huu ushauri au watumie kwenye Email bila shaka wataupata na watausoma!.


Huu ni ushauri tu!
 
Ukibisha unataka tu Kubisha ila Al Ahly FC wako dunia yao Kimpira kwani Wanajua na wataendelea Kuujua kutokana na Kujipanga Kwao katika kila Sekta.

Kama si bahati jana ( na nahisi hata Babu yetu wa Kiutamaduni namaanisha Mganga wa Kienyeji ) alitusaidia mno kwani tulikoswakoswa zaidi ya mara Nne Kipindi cha Kwanza na kama yote yale yangeingia na ukajumlisha na Mawili yao Matokeo yangekuwa ni 6 - 2 na Shughuli ingeishia hapa hapa Benjamin Mkapa Stadium Dar es Salaam Tanzania.

Hata hivyo Simba SC nao wamejitahidi kuonyesha kuwa katika Ukanda huu hakuna wa Kuwafikia na nitashangaa kuona Timu zingine Kubwa za huu Ukanda zisipojifunza kutoka kwa Simba SC kwani Kucheza na Vilabu Vikubwa Barani Afrika ( tena kutoka kwa Waarabu ) na Kuwamudu Kimatokeo si Kitu chepesi bali Maandalizi ya uhakika pamoja na Kujipanga kunahitajika sana.

GENTAMYCINE nasema endapo tu Wachezaji wa Simba SC wakiamua Kucheza Mpira wa pamoja, kuepuka Makosa ya Kitoto, kupunguza Papara, Concetration na Marking yao ikiwa ni ya 100%, wasipotegeana na kuwa Wavivu nina uhakika Jumanne ( tarehe 24 Oktoba, 2023 ) Simba SC inaenda Kuitoa Al Ahly FC katika Mashindano haya ya AFL huko huko Kwao nchini Misri.

Pongezi nyingi kwa Wachezaji wa Simba SC kwa Kujitahidi kujitoa Kuipambania Klabu ili Mapungufu yafanyiwe Kazi upesi, wasilaumiane, watiane moyo, wajiamini kwani dalili za Simba SC kuwatoa Al Ahly FC huko Kwao katika Mechi ya marudiano naziona na Afrika pamoja na Dunia haitoamini.
Mbona umeandika kwa haraka hivyo? AFL ni timu gani?
 
Back
Top Bottom