Msijifanye hamjui kuwa Simba SC nayo imechangia kwa 25% Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,646
109,034
Taarifa ikufikie hapo ulipo kuwa Klabu ya Simba nayo imechangia katika Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kununua Fenicha zote ambazo 'Wanaowekwa' na Ihefu FC kila mara katika Ligi Kuu ya NBC wataanza kuzikuta nao wakianza kuutumia huo Uwanja kuanzia tarehe 20 Oktoba, 2023 utakapokuwa umefunguliwa rasmi kwa Mechi kubwa, ya Kihistoria na ya Kimataifa duniani baina ya Simba SC ya Tanzania na National Al Ahly SC ya kutoka nchini Misri katika Michuano mipya ya African Football League (AFL)

Hongera na hongereni sana Simba SC kwa Utu, Uthubutu na Upendo huu kwa Mpira wa Tanzania na hakika mmetuheshimisha sisi Mashabiki wenu akina GENTAMYCINE na wengineo.

Na Wengine Wavumilie tu kwa sasa ila kama Wageni watakaokuja nchini Tanzania na kukosa magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.
 
Mlipo ng'oa na kuvunja viti pale mlipo tandikwa goli na Yanga mlistahili mlipishwe palepale.
Mnacho kifanya sasa ni kurudisha gharama mlizo litia hasara taifa kwa u mbumbumbu mlio ufanya.
Ila wenzetu bado hamjalipa mlivyovunja Mageti kugombea fungulia Mbwa.
Pia ghalama za kuingia Bure wakati wa Manjis bado ile milioni 500 haijalipwa hadi hii leo.
 
Mlipo ng'oa na kuvunja viti pale mlipo tandikwa goli na Yanga mlistahili mlipishwe palepale.
Mnacho kifanya sasa ni kurudisha gharama mlizo litia hasara taifa kwa u mbumbumbu mlio ufanya.
Ile mechi ilikuwa draw, Simba hawakusubiri wamlalamikie malinzi walimwonyesha kwa vitendo hasira zao. Inawezekana ulisimuliwa Ila baada ya uwanja na wizara kutoa gharama zao marehemu Handpope alinunua vitu na kufunga kwa gharama zake na kuzuia ulaji waliopanga.
 
Kwanza Malinzi hakuwai kuwatuma mashabiki wa Simba wang'oe viti kwaiyo Malinzi hausiki kwa lolote.

Uyo unayemtaja Hans pope hajawahi kulipia gharama za uvunjwaji wa viti kama una lolote au chochote cha kuthibitisha ebu fanya hivyo maana mbumbumbu fc mna uzushi mwingi.

Simba wali rudia kufanya hivyo pale Yanga walipo mtandika Ahly kwa bao moja la Nadir Haroub Canavaro.

Baada ya mashabiki wa Yanga kuanza kuwazomea mashabiki wa Simba uku wengi wao wakiwa wame vaa jezi za Simba na zile za Ahly ghafla walianza kung'oa viti na kuanza kuwarushia mashabiki wa Yanga waliokua wana zizima kwa furaha ya bao lile la utosi.

Alipo ulizwa msemaji wa Simba bi Asha haji/ mhaji, sikumbuki vizuri jina juu ya tabia iyo ya kung'o viti alisema ao sio mashabiki wa Simba labda wa Coast kwakua uwa wana vaa jezi za rangi kama iyo.
 
Taarifa ikufikie hapo ulipo kuwa Klabu ya Simba nayo imechangia katika Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kununua Fenicha zote ambazo 'Wanaowekwa' na Ihefu FC kila mara katika Ligi Kuu ya NBC wataanza kuzikuta nao wakianza kuutumia huo Uwanja kuanzia tarehe 20 Oktoba, 2023 utakapokuwa umefunguliwa rasmi kwa Mechi kubwa, ya Kihistoria na ya Kimataifa duniani baina ya Simba SC ya Tanzania na National Al Ahly SC ya kutoka nchini Misri katika Michuano mipya ya African Football League (AFL)

Hongera na hongereni sana Simba SC kwa Utu, Uthubutu na Upendo huu kwa Mpira wa Tanzania na hakika mmetuheshimisha sisi Mashabiki wenu akina GENTAMYCINE na wengineo.

Na Wengine Wavumilie tu kwa sasa ila kama Wageni watakaokuja nchini Tanzania na kukosa magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.
Bunju kule pamewashinda mtaweza kwa mkapa?, Bajeti ilishatengwa 30B na serikali hakuna asiyejua.
 
Taarifa ikufikie hapo ulipo kuwa Klabu ya Simba nayo imechangia katika Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kununua Fenicha zote ambazo 'Wanaowekwa' na Ihefu FC kila mara katika Ligi Kuu ya NBC wataanza kuzikuta nao wakianza kuutumia huo Uwanja kuanzia tarehe 20 Oktoba, 2023 utakapokuwa umefunguliwa rasmi kwa Mechi kubwa, ya Kihistoria na ya Kimataifa duniani baina ya Simba SC ya Tanzania na National Al Ahly SC ya kutoka nchini Misri katika Michuano mipya ya African Football League (AFL)

Hongera na hongereni sana Simba SC kwa Utu, Uthubutu na Upendo huu kwa Mpira wa Tanzania na hakika mmetuheshimisha sisi Mashabiki wenu akina GENTAMYCINE na wengineo.

Na Wengine Wavumilie tu kwa sasa ila kama Wageni watakaokuja nchini Tanzania na kukosa magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.
Nyie ndo matajiri Wenye huruma kuliko matajiri wote niliowahi kuwaona.
Mmetia b8 kuchangia ukarabati uwanja wa serikali, mmeshindwa kuongeza B18 mpate uwanja wenu unaojaza mashabiki 22elfu?
 
Taarifa ikufikie hapo ulipo kuwa Klabu ya Simba nayo imechangia katika Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kununua Fenicha zote ambazo 'Wanaowekwa' na Ihefu FC kila mara katika Ligi Kuu ya NBC wataanza kuzikuta nao wakianza kuutumia huo Uwanja kuanzia tarehe 20 Oktoba, 2023 utakapokuwa umefunguliwa rasmi kwa Mechi kubwa, ya Kihistoria na ya Kimataifa duniani baina ya Simba SC ya Tanzania na National Al Ahly SC ya kutoka nchini Misri katika Michuano mipya ya African Football League (AFL)

Hongera na hongereni sana Simba SC kwa Utu, Uthubutu na Upendo huu kwa Mpira wa Tanzania na hakika mmetuheshimisha sisi Mashabiki wenu akina GENTAMYCINE na wengineo.

Na Wengine Wavumilie tu kwa sasa ila kama Wageni watakaokuja nchini Tanzania na kukosa magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.
Huyu ndo yule kwenye vikao vya familia anaesema sitoki mkitaka mniue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ikufikie hapo ulipo kuwa Klabu ya Simba nayo imechangia katika Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kununua Fenicha zote ambazo 'Wanaowekwa' na Ihefu FC kila mara katika Ligi Kuu ya NBC wataanza kuzikuta nao wakianza kuutumia huo Uwanja kuanzia tarehe 20 Oktoba, 2023 utakapokuwa umefunguliwa rasmi kwa Mechi kubwa, ya Kihistoria na ya Kimataifa duniani baina ya Simba SC ya Tanzania na National Al Ahly SC ya kutoka nchini Misri katika Michuano mipya ya African Football League (AFL)

Hongera na hongereni sana Simba SC kwa Utu, Uthubutu na Upendo huu kwa Mpira wa Tanzania na hakika mmetuheshimisha sisi Mashabiki wenu akina GENTAMYCINE na wengineo.

Na Wengine Wavumilie tu kwa sasa ila kama Wageni watakaokuja nchini Tanzania na kukosa magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.
Kuna jamaa mmoja alishawahi kusema kila familia au ukoo lazima awepo mtu mmoja msumbufu/anaejitoa ufaham nahisi kwenye familia yenu kiongozi umejitolea kuwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ikufikie hapo ulipo kuwa Klabu ya Simba nayo imechangia katika Uboreshwaji wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kununua Fenicha zote ambazo 'Wanaowekwa' na Ihefu FC kila mara katika Ligi Kuu ya NBC wataanza kuzikuta nao wakianza kuutumia huo Uwanja kuanzia tarehe 20 Oktoba, 2023 utakapokuwa umefunguliwa rasmi kwa Mechi kubwa, ya Kihistoria na ya Kimataifa duniani baina ya Simba SC ya Tanzania na National Al Ahly SC ya kutoka nchini Misri katika Michuano mipya ya African Football League (AFL)

Hongera na hongereni sana Simba SC kwa Utu, Uthubutu na Upendo huu kwa Mpira wa Tanzania na hakika mmetuheshimisha sisi Mashabiki wenu akina GENTAMYCINE na wengineo.

Na Wengine Wavumilie tu kwa sasa ila kama Wageni watakaokuja nchini Tanzania na kukosa magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.
Simba wamelipa hasara waliyoisababisha baada ya kung'oa viti na kufanya uharibifu mkubwa kwenye huo uwanja siku ile wamefungwa goli la mkono na Tambwe so hakuna jipya hapo zaidi ya kulipa deni walilokua wakidaiwa miaka na miaka
 
.
magodoro ya kulalia nao wanaweza kujipendekeza kwa kutoa yao ila kwa sharti tu yasiwe na kunguni na yawe yana nyama za kutosha kwa ndani ili yasiumize migongo ya wageni na wakirejea makwao wakaanza kuisema vibaya Tanzania yetu.

Magodoro ya JIESIEM ni ya hovyo sana na hayafai kwa matumizi ya Binadamu. Yanaumiza sana Mgongo na ukiamka asubuhi unakuwa umechoka sana
 
Back
Top Bottom