Umeonyesha njia kwa wengine kwa kuwa wazi sijui kama Waume zako wanajua wapo wangapiKudadadeki.
Sema mimi waume zangu wana Nguvu za simba.
Umeonyesha njia kwa wengine kwa kuwa wazi sijui kama Waume zako wanajua wapo wangapiKudadadeki.
Sema mimi waume zangu wana Nguvu za simba.
......embu jaribuni idea yangu hii .. kwa kutumia simu
HII INAITWA Vibration test:
1.TAFUTA SIMU NOKIA 1100.
2.HAKIKISHA INA UWEZO WA KU VIBRATE
MATUMIZI
farasi akianza safari yake tuu wewe ni kumtegea kabla hajafika huko kijijini
na kwakuwa wewe ni mwenyeji unakijua vyema hicho kijiji ?
ukiona anakaribia basi una iwasha vibrate kisha simu unamwekea mgongoni
mshituko atakao upata hapo hahaha lazima aanze upya aisee!!
hapa napata utata, kunamahusiano gani kati ya pini na mwanaume ama pini na hisia? Au ndo kama ile ya kuzungusha vidole ili mwalimu asahau... ? Ndibalema
Kama Boy friend/Mumeo anatatizo lifuatalo huu ni ufumbuzi wake.
Mnapokuwa faragha wakati wa majamboz boy friend/mumeo ana tatizo la kuwahi kumaliza kabla hata wewe hujafika hata robo ya 'safari'?
Mbaya zaidi wengine hutumia chini ya dakika tano(5) na akishamaliza hana 'mzuka' tena.
Ufumbuzi.
Dadkika chache kabla hamjaanza majamboz, tafuta pini(exactly iwe dizaini kama hiyo pichani).
Ibane kwenye nywele zako(za kichwani), hakikisha mwenzi wako haioni.
Kisha anzeni majambozi.
Nakuhakikishia mtapiga gemu na jamaa hatofika ila ataendelea kuwa fit mpaka utakapoitoa ile pini ndipo 'atamaliza'
So kazi itakuwa kwako mwanadada kwani pini yako ni kama remote control yako, ukitaka amalize unaitoa pini yako ukitaka aendelee hata kwa masaa matatu mfululizo unaicha tuu pini.
Kumbuka.
Hii ni kwa akina dada wenye nywele ndefu ziwe natural au hata 'wivingi', rasta etc.
Zingatia:
Mwenzi wako hatakiwi kuiona hiyo pini wala hatakiwi kujua kama unatumia hii mbinu.
NB: huu sio uchawi na wala haihusiani na ushirikina bali ni urithi kutoka kwa bibi zetu.
Proudly African.
adios....amigo.
![]()
baada ya kufanyia kazi ulikuta ni kweli au sio kweli? nashangaa hujaleta majibu!. twambie bana!. miaduuuh!hlo nitalifanyia kazi leo nione kama kweli
baada ya kufanyia kazi ulikuta ni kweli au sio kweli? nashangaa hujaleta majibu!. twambie bana!. mia
nilikosa wa kumfanyia
jaribio mweeee!
Twenzao tuka test na mimi, manake mimi huwa naenda oscilations mbili tu kwishnei.
nilikosa wa kumfanyia
jaribio mweeee!
Twenzao tuka test na mimi, manake mimi huwa naenda oscilations mbili tu kwishnei.
Remember the rules, sitakiwi kujua.
uje na pini tano kabisa
ili kama vp tukeshe haha!!
Remember the rules, sitakiwi kujua.
Kama Boy friend/Mumeo anatatizo lifuatalo huu ni ufumbuzi wake.
Mnapokuwa faragha wakati wa majamboz boy friend/mumeo ana tatizo la kuwahi kumaliza kabla hata wewe hujafika hata robo ya 'safari'?
Mbaya zaidi wengine hutumia chini ya dakika tano(5) na akishamaliza hana 'mzuka' tena.
Ufumbuzi.
Dadkika chache kabla hamjaanza majamboz, tafuta pini(exactly iwe dizaini kama hiyo pichani).
Ibane kwenye nywele zako(za kichwani), hakikisha mwenzi wako haioni.
Kisha anzeni majambozi.
Nakuhakikishia mtapiga gemu na jamaa hatofika ila ataendelea kuwa fit mpaka utakapoitoa ile pini ndipo 'atamaliza'
So kazi itakuwa kwako mwanadada kwani pini yako ni kama remote control yako, ukitaka amalize unaitoa pini yako ukitaka aendelee hata kwa masaa matatu mfululizo unaicha tuu pini.
Kumbuka.
Hii ni kwa akina dada wenye nywele ndefu ziwe natural au hata 'wivingi', rasta etc.
Zingatia:
Mwenzi wako hatakiwi kuiona hiyo pini wala hatakiwi kujua kama unatumia hii mbinu.
NB: huu sio uchawi na wala haihusiani na ushirikina bali ni urithi kutoka kwa bibi zetu.
Proudly African.
adios....amigo.
![]()
Kudadadeki, ushaanza kunipa mizuka, nina swali kwa Ndibalema, vipi nikishusha ile konyagi kubwa inaruhusiwa kuendelea na jaribio,
si tunaenda kufanya jaribio au?
ili tupate jibu kama kweli,njoo na pini bana!!