Akina dada mnaijua tekniki hii?

Akina dada mnaijua tekniki hii?

Kudadadeki, ushaanza kunipa mizuka, nina swali kwa Ndibalema, vipi nikishusha ile konyagi kubwa inaruhusiwa kuendelea na jaribio,
Maanake nikipigaga nyagi hadi huwa ninawahurumia wanawake, mziki wake unakuwaga umetulia.

kama ni hivyo haina haja ya pini
hahahaaa!!c unajiweza ukitupia nyagi tu!!
 
Binafsi mi sipendagi mwanamke mwenye wigi,nikiwa nae napenda awe na rasta wigi hanivutii kabisa,napenda natural rasta....mawazo tu,ili nipate imagination yake yeye mwenyewe sio ya wigi.

rasta kwani ni natural hair? Hii kali
 
leo mmeanza na pini kwenye nywele
kesho utasema aweke sindano chini ya mto
kesho kutwa mtasema aweke paka chini ya kitanda
sinayofuata huyo binti atajikuta ameshakuwa mganga wa kienyeji
 
samahan naomba nkuulize kidogo, je wewe ulishajaribu ukaona inafanya kazi???
 
Nijuavyo hii pini ukiibana kwenye nywele au ikiwekwa chini ya mto dushee haisimami kabisaa.
 
Baada ya mzee wa mwembe chai yule kufa kumbe wengine ndo mnatoka na single zenu?(Shk Yahya)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nimeishia kushangaaaaaaaaaaaa.............:confused3: :confused3: :confused3:
 
mtoa taatifa bila shaka kafungua duka la pini sasa anatafuta promo
 
Back
Top Bottom