Akina dada mnaijua tekniki hii?

Akina dada mnaijua tekniki hii?

dada zetu jaribuni mtuletee matokeo hapa maana tanzania kila kitu ni deal
 
Hata mie sina nywele, itabidi ninunue wigi kwa ajili hiyo tu.....
nikitaka ku do natupia wigi!!!!
Binafsi mi sipendagi mwanamke mwenye wigi,nikiwa nae napenda awe na rasta wigi hanivutii kabisa,napenda natural rasta....mawazo tu,ili nipate imagination yake yeye mwenyewe sio ya wigi.
 
hahahahaa duh hii kali na mpya kudadadeki:becky:
 
Umenikumbusha mbali sana shule ya msingi kulikuwa na kijana alitutia ujinga eti ukigeuza ndala au viatu huku mwanamazingaombwe anafanya vitu vyake utaweza kuona uongo wake wacha siku moja tujaribu kufanya kama tulivyooelekezwa khaa show iliendelea kama kawa naona sasa jf imeyaleta tena haya mambo.
ingekuwa pini ndo mpango mzima mbona ingeshavuma muda tu na matangazo kwa waganga wa kienyeji yangepungua aisee.
Kwenye hili mi na log out khaa.....
 
ingekuwa kweli mbona hizo pini zingeuzwa bei ya modem coz ni visababishi vya network kwa wame zetu khaa....huu mwaka tutasikia mengi mbona.
 
ila kiukweli tuwe wazi,kama ni kweli umeamua kumlizisha mkeo kimapenzi,wanawake wanamahitaji makubwa sana wenye wake zaidi ya mmoja sijui wanafanyaje! maana mi huwa napiga mashine, mpaka nakausha uteute kabisa,lakini nikimshika kidogo tu anadai duh!
 
Sasa kwenye doggy kuna wale wanawavuta nywele kama farasi si ndio mwanzo wa kuchomana vidole?
lakini si kuchomana vidole tu, ghafla pini inatoka, stimu zinakata jamaa anaanza kulegea mara awa konokono hasimami tena ndo mwisho wa doggy inabidi muanze upya kunyegezana! loh nimecheka hadi basi watoto wananishangaa nacheka na screen, I love JF:smile:
 
Kama demu mwenyewe havutii hata akiweka pini saba unapiga tu kile kimoja cha kiherehere basi
 
......embu jaribuni idea yangu hii .. kwa kutumia simu

HII INAITWA Vibration test:

1.TAFUTA SIMU NOKIA 1100.

2.HAKIKISHA INA UWEZO WA KU VIBRATE

MATUMIZI


farasi akianza safari yake tuu wewe ni kumtegea kabla hajafika huko kijijini

na kwakuwa wewe ni mwenyeji unakijua vyema hicho kijiji ?
ukiona anakaribia basi una iwasha vibrate kisha simu unamwekea mgongoni

mshituko atakao upata hapo hahaha lazima aanze upya aisee!!

wasije wakaanza kutumia simu zao kama vibrator, itakuwa noma.
 
Umenikumbusha mbali sana shule ya msingi kulikuwa na kijana alitutia ujinga eti ukigeuza ndala au viatu huku mwanamazingaombwe anafanya vitu vyake utaweza kuona uongo wake wacha siku moja tujaribu kufanya kama tulivyooelekezwa khaa show iliendelea kama kawa naona sasa jf imeyaleta tena haya mambo.
ingekuwa pini ndo mpango mzima mbona ingeshavuma muda tu na matangazo kwa waganga wa kienyeji yangepungua aisee.
Kwenye hili mi na log out khaa.....

Nakumbuka primary school, tuliambiwa kwamba ukilichoma moto nyoya la mbaiwayu sehemu ambayo msichana amekojoa, huyo msichana atakutafuta ili mfanye kale kamchezo. Mwenzetu mmoja akaenda sehemu ambayo wasichana wanakojoaga nje, akachoma nyoya, kuna msichana ghafla akaanza kumfuata anamshikashika ili waende ku-do, mpaka leo sielewi ilikuwa ni coincidence au la.
Msiwe mnajisaidia nje.
 
Back
Top Bottom