Akina dada mnaijua tekniki hii?

Akina dada mnaijua tekniki hii?

mmmh!............sasa hapa kuna imani naona inaingia na hii haitofautiani na ile ya mwanamke akiumwa uchungu basi afunge fundo kanga yake dogo kama vile kafunga hela, basi akifanya hivyo atafika hosp bila kuzaila njian na akishafika tu kwenye meza ya kujifungulia basi hupaswa kulifungua fundo ili mtoto azaliwe.

tena husadikika kwamba lisipokumbukwa kufunguliwa basi mama ataumia kwa uchungu tu ila mtoto hatazaliwa. binafsi sijawah kujaribu hili manake nilihofia isije ikawa kweli nikamkosa mtoto. ila kiuhalisia sioni mantiki.

pia naweza kufananisha na ile dhana ya siku mwali anatoka ndani basi hufungiwa pini kwenye moja ya kanga zake ambayo haionekani ama kuekewa njiti ya kiberiti ana sindano eti ili mtu mwenye jicho baya asimwone kwa husda mwali sidhan kama yana ukweli ila tu tuliaminishwa na mabibi zetu kwa minajili kwamba pini itamchoma mtu mwenye husda ama sindano na njiti ya kiberiti itamuunguza.........lol! snowhite unakumbuka haya??
 
Last edited by a moderator:
......embu jaribuni idea yangu hii .. kwa kutumia simu

HII INAITWA Vibration test:

1.TAFUTA SIMU NOKIA 1100.

2.HAKIKISHA INA UWEZO WA KU VIBRATE

MATUMIZI


farasi akianza safari yake tuu wewe ni kumtegea kabla hajafika huko kijijini

na kwakuwa wewe ni mwenyeji unakijua vyema hicho kijiji ?
ukiona anakaribia basi una iwasha vibrate kisha simu unamwekea mgongoni

mshituko atakao upata hapo hahaha lazima aanze upya aisee!!
 
mkuu ndibalema hii ni imani tu wala hakuna kitu,me namfikisha kilelen mpaka aseme mwenyewe basi.
hata mimi, suala la mimi kuliachia huwa tunajadili isipokuwa tu wakati ndo kwanza tumeeonana baada ya kuwa mbalai kwa muda. Lakini nikisha achia la kwanza, yanayofuata uwa tunajadili, nilitoe? Akisema usitoe, naendelea kumpa dozi wife wangu, akichoka anasema tutoe sasa, mie nakushanya nguvu zote pwaaaaa kwisha habari. Mpaka kesho kila mtu usingizi mzito. Inakuwa ni moja nzuri, ya pili ni ya kutafutia joto la kuoga maji ya baridi
 
Mambo dear!!!
mambo safi my dia mie sitaki kuchoshana bwana na hayo mapini yenu.
siku nikigundua unapini nami naenda kwa babu yangu loliondo nika..... ah!! kweli siku hizi hayupo.
 
Yale yale ya kuruka kutoka singida to Mbeya na ungo na kutotakiwa kuangalia ulikotoka. Hiyo sayansi ya pini kuongeza ufanisi kwenye 6x6 ni muendelezo wa mazingaombwe yanatokea nchini kwa miaka hii ya karibuni
 
mmh ngoja tujadiliane naye kwanza!!then ataiweka siku ambayo mimi sitajua!
 
du hizo imani nouma, mm nilikutana na mtu akasema ukiweka pini haisimami leo naona kwako tiba du, ningekuwa na imani hizo ningejaribu lkn mziki wangu nauaminia maana pote nilipopita wanataka nirudi tena, wakisema hawajaona mtu kama mimi.
 
wanawake wanaochelewa wana matatizo na wengi ni wakevi. demu anayekupenda unaenda naye fresh. ndani ya dakika tano anapiga bao mbili. ukichukua gumegume ndio linataka nusu saa.
 
mmmh!............sasa hapa kuna imani naona inaingia na hii haitofautiani na ile ya mwanamke akiumwa uchungu basi afunge fundo kanga yake dogo kama vile kafunga hela, basi akifanya hivyo atafika hosp bila kuzaila njian na akishafika tu kwenye meza ya kujifungulia basi hupaswa kulifungua fundo ili mtoto azaliwe.

tena husadikika kwamba lisipokumbukwa kufunguliwa basi mama ataumia kwa uchungu tu ila mtoto hatazaliwa. binafsi sijawah kujaribu hili manake nilihofia isije ikawa kweli nikamkosa mtoto. ila kiuhalisia sioni mantiki.

pia naweza kufananisha na ile dhana ya siku mwali anatoka ndani basi hufungiwa pini kwenye moja ya kanga zake ambayo haionekani ama kuekewa njiti ya kiberiti ana sindano eti ili mtu mwenye jicho baya asimwone kwa husda mwali sidhan kama yana ukweli ila tu tuliaminishwa na mabibi zetu kwa minajili kwamba pini itamchoma mtu mwenye husda ama sindano na njiti ya kiberiti itamuunguza.........lol! snowhite unakumbuka haya??

naachaje kukumbuka mwali!
na ile ya kuweka kiuzi kwenye paji la uso la mtoto ili kwikwi isiendelee?
ahahahahhaa PROUDLY AFRICAN mchezo!
sasa kwa wale ambao mzuka ndo upo kwenye nywele si wataikuta hiyo pini mwe!
 
Kudadadeki.
Sema mimi waume zangu wana Nguvu za simba.

Aisee shosti Madame B kama wana nguvu ya simba pole sana manake simba siku 14 mfululizo, in one hours anagonga 4 times na bao moja ni energy ya mtu aliyefanya kazi masaa 8 bila kupumzika...... mweeee!
 
Last edited by a moderator:
Ndibalema usisumbuke na hizo pini,hapa bikei kuna viroba(pombe za paketi)kutoka UG.ukipata vya buku katelelo mpaka asubuhi.
 
Unaniwekea pini unataka kunichubua au?

JF wanatakiwa kuanza kufikiria kuweka forum ya uchawi!! Ili wale wanaopenda wakafundishane haya mambo huko huko..
 
Ndugu huu unaoufanya ni usenge kama mbovu unauhusiano gani
kuna uhusiano gani kati ya sindano na nywele au ndio umedanganywa ng huyo bb yako pole sana
 
hiyo non stop inaweza kumletea mtu maafa jamani ile ni starehe sa kumpigisha mwenzio kwata za kijeshi inatoka wapi kisa kufika kibo mawenzi
 
Mara nyingi nasikia kuhusu hii kitu, ila sina uhakika nacho...lakini kwa nini utake mpenzio achelewe kufika kileleni, mbona msuguano mkubwa ni hatari kwa afya zenu.? labda kama wapenzi wa kudumu.!
 
Back
Top Bottom