Strawberry
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 274
- 108
Kudadadeki.
Sema mimi waume zangu wana Nguvu za simba.
Unawaongezea wawee na za simba,nyati na faruu.
Kudadadeki.
Sema mimi waume zangu wana Nguvu za simba.
Kama Boy friend/Mumeo anatatizo lifuatalo huu ni ufumbuzi wake.
Mnapokuwa faragha wakati wa majamboz boy friend/mumeo ana tatizo la kuwahi kumaliza kabla hata wewe hujafika hata robo ya 'safari'?
Mbaya zaidi wengine hutumia chini ya dakika tano(5) na akishamaliza hana 'mzuka' tena.
Ufumbuzi.
Dadkika chache kabla hamjaanza majamboz, tafuta pini(exactly iwe dizaini kama hiyo pichani).
Ibane kwenye nywele zako(za kichwani), hakikisha mwenzi wako haioni.
Kisha anzeni majambozi.
Nakuhakikishia mtapiga gemu na jamaa hatofika ila ataendelea kuwa fit mpaka utakapoitoa ile pini ndipo 'atamaliza'
So kazi itakuwa kwako mwanadada kwani pini yako ni kama remote control yako, ukitaka amalize unaitoa pini yako ukitaka aendelee hata kwa masaa matatu mfululizo unaicha tuu pini.
Kumbuka.
Hii ni kwa akina dada wenye nywele ndefu ziwe natural au hata 'wivingi', rasta etc.
Zingatia:
Mwenzi wako hatakiwi kuiona hiyo pini wala hatakiwi kujua kama unatumia hii mbinu.
NB: huu sio uchawi na wala haihusiani na ushirikina bali ni urithi kutoka kwa bibi zetu.
Proudly African.
adios....amigo.
![]()
Umenifanya nicheke mwenyewe.
na kama nina kipara nitafanyaje
Hata mie sina nywele, itabidi ninunue wigi kwa ajili hiyo tu.....
nikitaka ku do natupia wigi!!!!
duuuh!hlo nitalifanyia kazi leo nione kama kweli
Hata mie sina nywele, itabidi ninunue wigi kwa ajili hiyo tu.....
nikitaka ku do natupia wigi!!!!
hizo pini ninazo kibao
kwa! kwa! umenichekesha brodah...ukimeza lazima atoe pini asiee...
Hata mie sina nywele, itabidi ninunue wigi kwa ajili hiyo tu.....
nikitaka ku do natupia wigi!!!!
weH! weH! ishia hapo hapo kila siku nita kusearch hilo wigi Evelyn Salt