The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,263
Mtu ni afya. Bila shaka sio peke yangu ambaye nimeona huko vichochoroni pedi zilivyo zagaa na isitoshe tunaelekea kipindi cha mvua. Tunawaomba chonde chonde mkishazitumia basi zichome moto. Utakuwa umesaidia kwa kiasi fulani kuweka mazingira safi.
Ila msitupe kwenye masink ya choo sababu yataziba.
Ila msitupe kwenye masink ya choo sababu yataziba.