Fundi mahiri wa Ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,717
- 3,680
Wanangu hamjambo!
Kumpa siri za mambo unayoyafanya ofisini mkeo ni hatari kubwa.
Sikiliza kisa hiki..........
Kuna rafiki yangu fulani hivi alikuwa akimueleza mkewe kila kitu anachokifanya kwa ofisi
Sasa one day mwanamke akagundua kuwa mumewe ana kabinti huko mtaani anakagegeda
mwanamke aka mind sana kukawa na bonge la ugomvi bwana.....
Yule bibie si kaenda ofsini kuonana na bosi wa mumewe kusema yote anayoyafanya mumewe hapo ofsini lol.
Baada ya kumuumbua mumewe si kibarua kikaota nyasi
Haya sasa jamaa hana kazi wamebaki wanaangaliana usoni
Mama anahitaji mahitaji ya nyumbani mshikaji hana mkwanja
maisha yamekuwa magumu
Nyie wanawahi hizi ni akili au matope?
Kumpa siri za mambo unayoyafanya ofisini mkeo ni hatari kubwa.
Sikiliza kisa hiki..........
Kuna rafiki yangu fulani hivi alikuwa akimueleza mkewe kila kitu anachokifanya kwa ofisi
Sasa one day mwanamke akagundua kuwa mumewe ana kabinti huko mtaani anakagegeda
mwanamke aka mind sana kukawa na bonge la ugomvi bwana.....
Yule bibie si kaenda ofsini kuonana na bosi wa mumewe kusema yote anayoyafanya mumewe hapo ofsini lol.
Baada ya kumuumbua mumewe si kibarua kikaota nyasi
Haya sasa jamaa hana kazi wamebaki wanaangaliana usoni
Mama anahitaji mahitaji ya nyumbani mshikaji hana mkwanja
maisha yamekuwa magumu
Nyie wanawahi hizi ni akili au matope?