Siri ni kitu ambacho hutaki watu fulani wafahamu, umbea ni kusema jambo la ukweli kwa mtu/watu wasiohusika
Okay afadhali, maana nilijua nimeshaharibu kumbe mimi huwa nampaga umbea na si siri za ofisi.....
Hata kama unampa siri sioni tatizo
Hadi kuanza kumpa siri mtu unakuwa unamwamini
Mie kuna mtu mmoja anajua siri zangu zote, na najua haoita kaa itokee akasema mahali
Hata mie ana hakika siwezi sema nnayoyajua
Hivi unajua mke au mme ni mtu wa karibu sana? Mengi yaliyo moyoni utajikuta umeyatoa kwake tu
Ndio maana festi ledi analindwa maana anajua siri za mmewe, hushangai kwa nini wasilindwe wazazi wa raisi?
Hakumpa talaka wala hakumpa adhabu yoyote kwa sababu mama alijisikia vibaya mno baada ya kufahamu ukweli, na hasa baada ya mzee kuachishwa kazi. Bahati nzuri mzee alikuwa na biashara fulani ambayo alikuwa anafanya part time akaanza kuifanya full time na alifanikiwa mno, akaweza kujenga nyumba nyingine enzi hizo kwa hiyo biashara na mambo yakawa mazuri zaidi. Baada ya hapo akawa anajutia kupoteza muda kwenye kuajiriwa.
Nadhani haujataka kuwa fair just because mwenye kosa la kusababisha mume kufutwa kazi ni huyo mwanamke. Suala la makosa yenu binafsi eti unapeleka ofisini sidhani kama ni busara kwa kweli no matter what! ! Ningekuwa mimi ndio ningeachana nae kabisa afurahi.