Akili za wanawake bwana!

Akili za wanawake bwana!

Mwanaume hupaswi kumuambia mkeo siri zako haswa za kujipatia kipato, kwani watanzania wote wezi!
 
Kwa hiyo mkeo hatakiwi kujua unakofanya kazi au unamaanisha nini? mimi sioni connection ya siri za kazini na tukio la mwanamke kwenda kukushitaki kwa bosi.

Kwani kama ugomvi ulikuwa matunzo ya watoto mke aliyedhamiria kutibua hatoenda kusema kwa bosi? Na mimi sioni kama bosi ana mamlaka ya kumfukuza kazi mfanyakazi wake kwa mambo binafsi. Sheria ya mahusiano haimgusi ikiwa hayo mambo anayofanya haiathiri utendaji wa kazi za ofisi.

Na mwisho hiyo ndio faida ya wanawake wajuaji mnaooa mtandaoni kwa ashiki za kiunoni. Na huyo mwanaume amevuna matunda ya kuishi kama mbuzi, mtu umeoa bado unahangaika na viruka njia kama vya mtandaoni
 
Wanangu hamjambo!

Tusiwe watu wa haraka wa kuhukumu. Hujavaa viatu vya huyu mama. Eheeee baada ya kazi kuharibika vipi aliendelea na huyo kimada! Kumbuka mama yako mzazi naye ni mwanamke. Unapomtukana mwanamke yeyote hilo tusi linampata hata mama yako aliyekuzaa.
 
Wanawake wanaweza wakiwezeshwa, mme alimuwezesha mke kwa kumpa siri zake za ofisin na mke akaweza kumfukuzisha kazi. Hivyo wanaume tusiwawezeshe wakinamama kwa kuwapa siri zetu za muhimu.
 
Kwa hiyo mkeo hatakiwi kujua unakofanya kazi au unamaanisha nini? mimi sioni connection ya siri za kazini na tukio la mwanamke kwenda kukushitaki kwa bosi.

Kwani kama ugomvi ulikuwa matunzo ya watoto mke aliyedhamiria kutibua hatoenda kusema kwa bosi? Na mimi sioni kama bosi ana mamlaka ya kumfukuza kazi mfanyakazi wake kwa mambo binafsi. Sheria ya mahusiano haimgusi ikiwa hayo mambo anayofanya haiathiri utendaji wa kazi za ofisi.

Na mwisho hiyo ndio faida ya wanawake wajuaji mnaooa mtandaoni kwa ashiki za kiunoni. Na huyo mwanaume amevuna matunda ya kuishi kama mbuzi, mtu umeoa bado unahangaika na viruka njia kama vya mtandaoni

Hujaelewa topic mkuu
Kiufupi watu wanatabia za kujipatia vipato maofisini kwa njia ambazo sio halali hicho ndicho alichoenda kusema kwa ofisi hakwenda kusema mumewe ana mahusiano na binti mtaani
 
Iwe mwanzo na mwisho kutamka maneno yale

ahahahahha pmoses95 sawa kaka mukubwa nimekusoma, sitarudia tena. Ila wanawake tuna akili nyingi sana kumbuka Adam na Eva/Hawa, kumbuka Samson na Delillah.
Wanaume ishini na wake zenu kwa akili.:shut-mouth:
 
Mbona siku hizi wanaume wengi wanaongoza kwa umbwa maofisini? Na ukiona hivi jua wakiwa vijiwe vya kahawa ni hatari kabisa!! Ndiyo maana hata zile tunaita siri za serikali vijiweni zimejaa!! Kwani akina mama vijiwe vya kawhawa wanakaa? Balance taarifa ili tusionee upande mmoja!!
 
Mbona siku hizi wanaume wengi wanaongoza kwa umbwa maofisini? Na ukiona hivi jua wakiwa vijiwe vya kahawa ni hatari kabisa!! Ndiyo maana hata zile tunaita siri za serikali vijiweni zimejaa!! Kwani akina mama vijiwe vya kawhawa wanakaa? Balance taarifa ili tusionee upande mmoja!!

Mhuuuuu hata mashairi yana maana nyingi. yawezekana umeelewa tofauti
 
Hujaelewa topic mkuu
Kiufupi watu wanatabia za kujipatia vipato maofisini kwa njia ambazo sio halali hicho ndicho alichoenda kusema kwa ofisi hakwenda kusema mumewe ana mahusiano na binti mtaani

Loh! Yaani nikirudi nyumbani namkaza mchana kutwa kila tundu, pambav zake
 
Kaka HorsePower kula like nyingine... Naona hyo moja haikutoshi.

Back to topic.. Sishabikii alichofanya mwanamama but ninyi kina baba pia mjifunze.

Nachofikiri hapa huyo mama aliona isiwe tabu hii kazi inampatia huyu baba jeuri na mkwanja wa kuweka kimada kitaa.. So kiulaini kaharibu kazi ili hyo jeuri ikwishe lolz... Huna pesa hakuna kimada ana shida na wewe.

Baadhi ya kina baba akiwa na uwezo wa kifedha (mambo safi) hutumia uwezo wake kugegeda ovyo kitaa.. Na inapokuwa hivi mama hashindwi hata kumwomba Mungu hizo pesa ziondoke kwenu as BADALA ya kuleta baraka zimeleta laana. Kazi kwenu.




Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
akili tope tope kweli! wanawake wenye akili hiyo ndo wale wanaopenda waume zao baada ya saa za kazi warudi haraka nyumbani, wakichelewa tu ndani kinanuka kwa magomvi. matokeo yake wanaume hao wanakuwa hawana brain juu ya mipangilio ya maisha kwa sababu ya kukosa ku-hang out na marafiki wa kubadirishana nao mawazo na kupeana michongo ya maisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom