Akili za wanawake bwana!

Akili za wanawake bwana!

NA siku kikibuma kazini usirudi kwa mkeo

Baadhi ya wanamme wanajidai wa maana kweli, na wanawake ni nyongeza ya binadamu, kama mwanamke ni 'mjinga' kiasi hicho kwa nini usioe mwanamme??

kumsimulia mwanamke mambo ya offisi na mengine yasiyomhusu ni UDHAIFU MKUBWA mwanamume hutakiwi kuwa dhaifu
 
Unakuta mtu anajidai ana siri nzito za ofisini, vidili vyenyewe anapiga vya laki 2, tena kakusanya risiti feki za tax. Mtuwache tupumuwe na akili zetu.
 
Kuna wanaume wengi pia wamewaharibia wake zao wengi kwa ajili ya wivu huohuo.
Nakumbuka zamani mama mmoja alifukuzwa kazi benki. enzi za manual kachelewa kutoka job mume kanywa mipombe kaenda kuleta fujo ofisini kwa mkewe.
 
NA siku kikibuma kazini usirudi kwa mkeo

Baadhi ya wanamme wanajidai wa maana kweli, na wanawake ni nyongeza ya binadamu, kama mwanamke ni 'mjinga' kiasi hicho kwa nini usioe mwanamme??

aahahhahaha nimeipenda hiyo! oeni midume kama wanawake hatuna akili!:high5:
 
Ukisema "Akili za wanawake bwana" unakosea, na mi nasema "akili za wanaume bwana"!!!! Kuongea na mkeo au mumeo mambo ya ofisini ni jambo la kawaida kwa watu mnaopenda na kuheshimiana. Sasa mimi nasema akili za huyo mama na akili za huyo baba wote ovyo!!!
 
Msione nazidi kukonda kila siku,nna siri nzito moyoni na naapa sitamwambia mtu ntakufa nayo hii siri !!
 
Sasa ni zamu ya mke kugegedwa mtaani ili maisha yaende,kazi ipo kwa mwanaume sijui ataenda kwa nani amuharibie mkewe maana dawa ya moto ni moto.

 
Maskini... pole yake bt rekebisha sio wanawake wote wanatabia hizo
 
Wanangu hamjambo!

Kumpa siri za mambo unayoyafanya ofisini mkeo ni hatari kubwa.

Sikiliza kisa hiki..........

Kuna rafiki yangu fulani hivi alikuwa akimueleza mkewe kila kitu anachokifanya kwa ofisi
Sasa one day mwanamke akagundua kuwa mumewe ana kabinti huko mtaani anakagegeda
mwanamke aka mind sana kukawa na bonge la ugomvi bwana.....

Yule bibie si kaenda ofsini kuonana na bosi wa mumewe kusema yote anayoyafanya mumewe hapo ofsini lol.

Baada ya kumuumbua mumewe si kibarua kikaota nyasi
Haya sasa jamaa hana kazi wamebaki wanaangaliana usoni

Mama anahitaji mahitaji ya nyumbani mshikaji hana mkwanja
maisha yamekuwa magumu

Nyie wanawahi hizi ni akili au matope?


Mbona mimi hata nikifunga virago kazini nafunga hata mdomo kuhusu mambo ya ofsini? Tena Laptop yangu hata mke wangu analog as a guest kwa vile password ni siri yangu. Kwa vile nina simu mbili, hii simu moja yenye BSS wala haigusi na simruhusu maana kuna emails kibao. Yanini ajue mambo ya ofsin kwetu wakati sina muda na yale ya ofsin kwao?
 
Ukisema "Akili za wanawake bwana" unakosea, na mi nasema "akili za wanaume bwana"!!!! Kuongea na mkeo au mumeo mambo ya ofisini ni jambo la kawaida kwa watu mnaopenda na kuheshimiana. Sasa mimi nasema akili za huyo mama na akili za huyo baba wote ovyo!!!


toa sababu
 
Sasa ni zamu ya mke kugegedwa mtaani ili maisha yaende,kazi ipo kwa mwanaume sijui ataenda kwa nani amuharibie mkewe maana dawa ya moto ni moto.


Mi nampa ushauri wa bure aende Temeke ili wamgandishe wakati anagegendwa!
 
kwanza tutake radhi mama zako ebho!! hivi kwa akili zako wewe ukigundua mkeo na serengeti boy mtaani utafurahi?ndio maana nasemaga wanawake tujitahidi kutafuta kipato na sio kunyoosha mkono kila uchao, unadiriki kusema kuwa sasa wanaangaliana usoni so ulitaka akae kimya kwa sababu hana mbele wala nyuma ili waendelee kupata huo mlo wa kila siku na bwana yake aliendelee na uzinzi wake? tatizo sio kwamwambia siri za office tatizo ni dharua alofanya huyo bwana ya kuwa na mwanamke tena hapo hapo mtaani kwao, akaanza kuleta dharau kwa mkewe. kesi kama hizo ni nyingi sana hata ninapofanya kazi mie kila mara wanawake wanakuja getini kulalamika kuwa wametelekezwa na waume zao hata wanapopata off hawaendi nyumbani huishia hoteli na sehemu mbali mbali za starehe bila kujali kuwa ana familia inamtegemea, kinachofuata ni mwanamke kuulizia roster ya mume wake kwa marafiki zake nao bila hiana humwambia ( shemeji mbona mumeo yupo off hii week ya pili?) anachukua hatua ya kutinga kazini kwa mumuwe, je mwanaume kama huyo akifukuzwa kazi lawama kwa mkewe, wanaume jiangalieni sio kupata vijisenti ya kubadilisha raba ukamsahau mkeo mliesota nae mkikaanga maandazi leo hii unaendesha mchuma wako huku mkeo akiangalia watoto wako unamwona hajui haendi na wakati loh.........nawakilisha.
 
ni kweli juwa yanatokea haswa ukiwa mkeo anatokea pwani ogopa kumpa siri zako
 
Baibo ilidhamaliza kila ktu. Fundisho hilo na kutomwambia siri mwanamke lipo kwa Samon na Delila.

Delila hakuwa mke wa Samsoni ila alitumwa kujilengesha ili amdanganye kwani Jamaa alipenda sana totoz
 
Sio tatizo la wanawake wote!!!!!!!!!! wengine wanatunza siri kuliko maarifa....Ila wanawake wanasukumwa sana na maamuzi ya hasira ambapo hujuta baada ya mkasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom