Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,547
Mwanamitindo maarufu instagram kama @leavemaryalone amechukua headlines mara baada ya kulalamika kufanyiwa kitendo cha kutolewa na kushushwa kwenye usafiri wa ndege kutokana na ukubwa uliopitiliza wa maziwa yake yanayo kadiriwa kuwa na uzito wa kg 10.
Mwanamitindo huyo Mary Magdalena' amefanya upasuaji wa kuongeza ukubwa wa maziwa yake, makalio, lips pamoja na maeneo mbalimbali katika mwili wake jambo lililofanya kupata muonekano wa tofauti, tayari mwanadada huyo ameahidi kuwapeleka mahakamani wahusika wa ndege hiyo kwa tukio hilo.
Mwanamitindo huyo Mary Magdalena' amefanya upasuaji wa kuongeza ukubwa wa maziwa yake, makalio, lips pamoja na maeneo mbalimbali katika mwili wake jambo lililofanya kupata muonekano wa tofauti, tayari mwanadada huyo ameahidi kuwapeleka mahakamani wahusika wa ndege hiyo kwa tukio hilo.