Kwanza, story line sio lazima ingawaje ni kweli pia watu wanapenda video zenye story line! Tatizo la Kiba sio video kukosa story line bali kukosa sanaa ndani yake!
Tukirudi kwenye wimbo ni "make me sing" lakini ndo kwanza watu wanapora benki! Je, ni nani huyo anaambiwa "make me sing?" Jibu la harakaharaka ni mwanamke! Na kama ni mwanamke basi labda hujasikiliza vizuri na kusikia alivyosifiwa huyo mwanamke... "ni my everything...!" Na kama umesikiliza basi huenda umesahau ni namna gani hao akina "my everything" wanavyotufanya tu-risk maisha ili mradi tu tuwe happy nao! People rob mzee because ya hawa "my everything...!" Wakisha-rob hakuna cha maana kinachofuata zaidi ya kula bata na mbwembwe za kuonesha ufahari kama inavyoonekana kwenye video!!! Na mara nyingi mwisho wake sio mzuri inavyoonekana kwenye video--- unaingia mikononi mwa polisi lakini aliyekufanya ushike mtutu unamwacha salama salmini kama unavyomuona huyo shost "akisahaulika" na pingu za polisi wakati na yeye alishiriki huo mchezo manake ndie alienda kuchora ndipo jamaa wa kazi wakatimba na mashine! Kumbe inawezekana hakuwa "my everything" wako peke yako vinginevyo sijui utatafsiri vp hadi wengine watiwe mbaroni na yeye aachwe!
Ni fasihi zaidi kuliko inavyoonekana!
[Verse 1 – AKA]
Sweet something you all I want
Can’t tell me nothing stole my heart
Praise God that He made you
See nobody, nobody replace you
So tell me have you seen her
African queen, number one diva
Shake your bidi bum thing, when I pump speaker
Don’t you know we run things in a Tanzania
Oh ta ta ta tara
Ta ta ta tarara (tarara)
Ta ta ta tara (tata rara)
Nta nta nta ntara rara
[Chorus – Diamond Platnumz]
Oh mama you gon’ make me sing
Ta ta ntara (ona naimba)
Uh ta ntara (giving thanks and pray)
Ta ta ntara (feeling your embrace)
Uh ta ntara (you’re my everything)
Ta ta ntara (one and only queen)
Uh ta ntara (hee hee eh)
Ta ta ntara (oh oh oh)
Uh ta ntara (any time and any place)
[Verse 2 – Diamond Platnumz]
When I’m looking to your eyes
Furaha yangu naiona
Pressure unani-minimize
Napougua napona (ni wewe)
Ananichanganya (ni wewe)
Asi kwa chanya (ni wewe)
Anaenichanganya (ni wewe)
Shibe yangu mama (ni wewe)
Eh hee hee, hivyo hivyo
Hivyo chunga tusije tengana
Hivyo hivyo
Taratibu tutafika mama
Na ngoma yako isakata
Nakoma dance ukikata
Sangoma wa nini nshanasa
[Chorus – Diamond Platnumz]
I swear you de make me sing…
Ta ta ntara (singing everyday)
Uh ta ntara (giving thanks and pray)
Ta ta ntara (feeling your embrace)
Uh ta ntara (you’re my everything)
Ta ta ntara (one and only queen)
Uh ta ntara (hee hee eh)
Ta ta ntara (oh oh oh)
Uh ta ntara (any time and any place)
[Verse 3 – AKA]
We… fresh and clean, you want something
Then chop my money oh
Ah yeah, no long team I invite you to my bedroom party oh (ah yeah)
Take a shot and pop the bubbly
Glass is up you got to love me
Ah, break it down we de make girlem sweat like cardio
Aah!
You de queen of my kingdom
Number one in a million
Bout time I put the ring on
Bad girls got their eyes on my income
No stress or drama
Jah bless, asante sana
Give thanks to God for my queen love
Dar Es Salaam put your drink up
Ta ta ta tara (tarara)
Ta ta ta tarara (tata rara)
Ta ta ta tara, oh yeah
[Chorus – Diamond Platnumz]
Oh ma you de (gon) make me sing
Ta ta ntara (singing everyday)
Uh ta ntara (thanks and pray)
Ta ta ntara (feeling your embrace)
Uh ta ntara (you’re my everything)
Ta ta ntara (one and only queen)
Uh ta ntara (hee hee eh)
Ta ta ntara (oh oh oh)
Uh ta ntara (any time and any place)
[Outro – Diamond Platnumz]
Any time and any place
Singing everyday
Giving thanks and pray
Feeling your embrace
You’re my everything
One and only queen
Lyrics hizi hapa maana tusitoke nje ya mada najua umeongea bila kusoma lyrics,kelele zetu kua skeleton ya video bora sisi tunaamini inatokana na maudhui ya wimbo aya turudi bank na uporaji sasa acha nadharia zako,wakikosea tuwakosoe wakipati tuwasifie.
"Ni fasihi zaidi kuliko inavyoonekana" nimekunukuu,ivi juzi hapa si tumemtukana AJ kisa kasema video ya Kiba ni fasihi zaidi tukasema haiendani na wimbo leo vipi tena,weka mambo yao/yenu ya timu pembeni angalau kidogo tujadili muziki alafu nenda kaangalie video ya lil' Wayne ft T Pain-Got Money uje na maelezo ya kutosha,Godfather angeweka mikono kwenye hii joint ingekua ya kutisha sitaki kuzungumzia audio maana wadogo zetu uko wako vibaya wanakomaa na vichupa tu.