Mkuu, labda ni lugha tu niliyotumia kwa ufupi anataka kupenentrate kwenye soko la America.. Na sioni ubaya wa kujaribu kufanya hivyo!!! Hata kama P Square walishindwa hii haina maana kuwa ni mwiko kwa wengine kujaribu au daima na milele itakuwa hivyo ni kheri ajaribu hata akishindwa lakini angalau amejaribu hiyo ndio mentality chanya Mkuu..!!