Kama kazi yako chanzo pekee cha mapato ukiwa kazini ni mshahara, basi lazima utaishi maisha magumu tuu.
Raha ya kazi ni deals, posho, bonus na upigaji wa hapa na pale nje ya mshahara.
Piga hesabu ya Hakimu wa mahakama ya mwanzo, anakoje hela pale kila siku. 😁
Ndio maana unaona walimu life yao ngumu, hakuna mianya. Ni chaki tuu, labda uuze mandazi.