AJIRA

Anha!,, kwahy unatakiwa uwe na kikazi cha ziada.?
 
Kama umemaliza tu chuo ukiwa na miaka 22 huna familia na wazazi hawakutegemei na ndugu ulionao wapo kazini ukapata hiyo ajira ya 800K labda hizi hesabu unaweza ziwaza.

Nje ya hapo subiri ukope 200M kwenye mfumo wa ESS
Duuh!,, ukikopa si ndy unajiingiza kwenye kutumika deni miaka mingi😀
 
hao wanaweza wasi changie matumizi yako, ila familia yenu, mtazamo wako uka kukwamisha.

kibongo bongo lazima uongeze ka shughuli kengine ka mapato, incase ukioa, dharura za kuumwa, majanga ya moto, kuibiwa au kesi.
Mm sikufichi,, mzee wangu ni mwalimu wa sekondari lakini tunashindiaga uji nyumbani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…