Ajira Utumishi - Recruitment portal

Mkuu mbona vyeti vya shule vinazingua kuatachika!!

Cha chuo hakijazingua wala cha kuzaliwa

usikute nawe umescan na incorrect method, hakikisha umescan vyeti na adobe reader ila sio picha,. Au kuna tatizo la netwok au mtandao upo busy sana!
 
Wapendwa plz nijuzeni kidogo kola nikijaza katika kipengele cha professional qualifications haisave info plz msaada kwa yeyote alie wahi kuaply online via recruitment portal anisaidie manake sijakamilisha 70% ili nitume maombi
 
Wapendwa plz nijuzeni kidogo kola nikijaza katika kipengele cha professional qualifications haisave info plz msaada kwa yeyote alie wahi kuaply online via recruitment portal anisaidie manake sijakamilisha 70% ili nitume maombi

Je hicho kipengele cha professional qualifications unazo? Eg. CPA ...etc kama huna review your details vizuri then kuna sehemu ambazo ni mondatory zime wekewa read inawezekana ume ommit na kama huna prof. Qualifications acha itafika tu 70% na kuendelea cyo lazima review carefull ur applications details ulizo jaza!
 
Je hicho kipengele cha professional qualifications unazo? Eg. CPA ...etc kama huna review your details vizuri then kuna sehemu ambazo ni mondatory zime wekewa read inawezekana ume ommit na kama huna prof. Qualifications acha itafika tu 70% na kuendelea cyo lazima review carefull ur applications details ulizo jaza!

Mkuu inakuaje kwa wale wanaijaza professional qualifications za uongo?! Tume ya Ajira inafuatilia hili swala?!!!
 
Tume ya Ajira inafuatilia hili swala?!!![/QUOTE]

Jamani tuache kujidhalilisha!
 
Je hicho kipengele cha professional qualifications unazo? Eg. CPA ...etc kama huna review your details vizuri then kuna sehemu ambazo ni mondatory zime wekewa read inawezekana ume ommit na kama huna prof. Qualifications acha itafika tu 70% na kuendelea cyo lazima review carefull ur applications details ulizo jaza!

Mkuu upo ndugu yangu
 
Mkuu inakuaje kwa wale wanaijaza professional qualifications za uongo?! Tume ya Ajira inafuatilia hili swala?!!!

Unauliza ili ujaze au??? Hv unawezaje kusema nimesoma SAUT wakati hata hujasoma pale??? Wakipeleka jina lako kule kujilidhisha zen waseme hawakujui,si utakutana na pingi ofisini wewe???
 
Mkuu inakuaje kwa wale wanaijaza professional qualifications za uongo?! Tume ya Ajira inafuatilia hili swala?!!!

Sina hakika juu ya hilo kama wanafuatilia ama lah! Kumbuka tu unapo jaza kila kipengele ni lazima uwe umeattach vyeti/cheti husika so kwenye kipengele cha prof. Qualifications ni hivyo hivyo unaweka vyeti/cheti vya hiyo profession qualification yako!
 
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja. Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ?Bila shaka jibu lako ni ndio.

Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ?Ingia kwenye akaunti yako, click My applications.Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari.Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview

HONGERA SANA:

Nyongeza plus~updated 08 May 2015. Napenda kushare na nyie kitu kidogo ambacho kitasave pesa zetu kuhusiana na barua za maombi za kuattach kwenye job application.Je unapoteza pesa nyingi kwenye ku-scan ?Usiende kuscan barua yako hakuna hiyo haja. Type vizuri barua yako ya kazi kwenye Microsoft word then isave.

smallpdf.com/word-to-pdf ina uwezo wa kubadilisha document yako iliyo kwenye word to pdf.

Huna haja ya kuscan barua zako za kazi.

Siyo kwa wote mkuu kuna wengine lazma wapitishe kwa waajiri wao so lazma zisainiwe na mhusika zen ndiyo uscan,kwa wale wasiopitishiwa hao hawana shida km uliandka hapo juu,asante sana.
 
Back
Top Bottom