Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

Nesi1

Member
Dec 14, 2023
21
19
Kumekuwa na matangazo mbalimbali yanayohusiana na mikopo kwa wafanyakazi nadhani ni Tanzania Nzima.

Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.

Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.

Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.

Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.

Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.

Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.

Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote

IMG-20231215-WA0005.jpg
IMG-20231215-WA0000.jpg
IMG-20231215-WA0004.jpg
 
Kumekuwa na matangazo mbalimbali yanayohusiana na mikopo kwa wafanyakazi nadhani ni Tanzania Nzima.

Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.

Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.

Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.

Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.

Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.

Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.

Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote

View attachment 2842864View attachment 2842867View attachment 2842869
njooni huku mjibu hoja
 
Kumekuwa na matangazo mbalimbali yanayohusiana na mikopo kwa wafanyakazi nadhani ni Tanzania Nzima.

Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.

Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.

Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.

Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.

Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.

Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.

Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote

View attachment 2842864View attachment 2842867View attachment 2842869
Hiyo ni TAKRIMA HATA NDANI YA CHAMA TAWALA CCM IPO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Halmashauri zingine pesa zimetoka mda tu....mwezi wa 11, hakuna rushwa ya aina yoyote Ile....Mimi nimepata bila kumjua mtu halmashauri, nimejisajili hazina portal,nikapigiwa simu niandike barua nitumie kwa watsap,baada ya hapo....nikapigiwa simu nidownload mkataba, nimpelekee boss wangu asign, baada ya hapo nikawekewa mzigo...Tena walinipigia wenyewe kuwa mzigo umeingia. Huo ndio uzoefu wangu....kwetu hatujaombwa hata mia. Wenzangu waliniambia huo mkopo kupata hauwezi maana wanagawana wakuu wa idara tu.....nikawaambia kuwa hacha niombe Ili niwe sehemu ya ushuhuda wa haya mnayosema.....mwisho wa siku nimepata.
 
Halmashauri zingine pesa zimetoka mda tu....mwezi wa 11, hakuna rushwa ya aina yoyote Ile....Mimi nimepata bila kumjua mtu halmashauri, nimejisajili hazina portal,nikapigiwa simu niandike barua nitumie kwa watsap,baada ya hapo....nikapigiwa simu nidownload mkataba, nimpelekee boss wangu asign, baada ya hapo nikawekewa mzigo...Tena walinipigia wenyewe kuwa mzigo umeingia. Huo ndio uzoefu wangu....kwetu hatujaombwa hata mia. Wenzangu waliniambia huo mkopo kupata hauwezi maana wanagawana wakuu wa idara tu.....nikawaambia kuwa hacha niombe Ili niwe sehemu ya ushuhuda wa haya mnayosema.....mwisho wa siku nimepata.
Umeongea vizuri, mtoa mada siyo muungwana, amejaa hisia na sidhani kama ameomba

Anasema mkopo unatolewa kupitia portal, sasa waombaji kuitwa kwa ajili ya semina anaona ni mpango wa kuombwa rushwa, utaombaje kupitia portal bila kupewa semina?
Hongera kwa kutoa ushuhuda kuwa hakuna rushwa na umepata hao waliokuwa wanakukatisha tamaa kuwa hautapata wanajilaumu ila mwakani wataomba
 
Umeongea vizuri, mtoa mada siyo muungwana, amejaa hisia na sidhani kama ameomba

Anasema mkopo unatolewa kupitia portal, sasa waombaji kuitwa kwa ajili ya semina anaona ni mpango wa kuombwa rushwa, utaombaje kupitia portal bila kupewa semina?
Hongera kwa kutoa ushuhuda kuwa hakuna rushwa na umepata hao waliokuwa wanakukatisha tamaa kuwa hautapata wanajilaumu ila mwakani wataomba
hii ni rushwa tena rushwa haswa
 
Umeongea vizuri, mtoa mada siyo muungwana, amejaa hisia na sidhani kama ameomba

Anasema mkopo unatolewa kupitia portal, sasa waombaji kuitwa kwa ajili ya semina anaona ni mpango wa kuombwa rushwa, utaombaje kupitia portal bila kupewa semina?
Hongera kwa kutoa ushuhuda kuwa hakuna rushwa na umepata hao waliokuwa wanakukatisha tamaa kuwa hautapata wanajilaumu ila mwakani wataomba
katika dunia ya sasa kuna mtu hawezi sajili kwwnye hazina portal? au na wewe umetega nyavu?
 
Kumekuwa na matangazo mbalimbali yanayohusiana na mikopo kwa wafanyakazi nadhani ni Tanzania Nzima.

Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.

Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.

Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.

Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.

Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.

Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.

Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote

View attachment 2842864View attachment 2842867View attachment 2842869
Kweli kisima cha DP World kimetema... Mikopo yote haina riba, sipati picha wakurugenzi na mafisa utumishi wanavyojichotea... Mwees🙄
 
Kumekuwa na matangazo mbalimbali yanayohusiana na mikopo kwa wafanyakazi nadhani ni Tanzania Nzima.

Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.

Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.

Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.

Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.

Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.

Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.

Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote

View attachment 2842864View attachment 2842867View attachment 2842869
Hiyo mikopo ina magumashi sana Maafisa huko wilayani hawatoi ushirikiano na mara nyingine hawatoi kabisa taarifa sahihi.

Kwa mfano:

Wilayani Maswa tuliambiwa tuombe kupitia mfumo wa advance loan salary ( ALS) sasa kilichotokea kumbe huko wilayani wakaamua pia watu waombe kupitia barua bila kutoa taarifa yeyote kuja kushtuka deadline imefika. Hivyo wamepeana wenyewe hiyo mikopo.

Nini kifanyike...

SERIKALI IBORESHE MIFUMO WATU WAOMBE KWENYE MFUKO BILA HATA KUONANA NA HAO NGURUWE HUKO WILAYANI...
 
Halmashauri zingine pesa zimetoka mda tu....mwezi wa 11, hakuna rushwa ya aina yoyote Ile....Mimi nimepata bila kumjua mtu halmashauri, nimejisajili hazina portal,nikapigiwa simu niandike barua nitumie kwa watsap,baada ya hapo....nikapigiwa simu nidownload mkataba, nimpelekee boss wangu asign, baada ya hapo nikawekewa mzigo...Tena walinipigia wenyewe kuwa mzigo umeingia. Huo ndio uzoefu wangu....kwetu hatujaombwa hata mia. Wenzangu waliniambia huo mkopo kupata hauwezi maana wanagawana wakuu wa idara tu.....nikawaambia kuwa hacha niombe Ili niwe sehemu ya ushuhuda wa haya mnayosema.....mwisho wa siku nimepata.
Halmashauri gani hiyo ???

Natamani kweli kuhama huku MASWA
 
Umeongea vizuri, mtoa mada siyo muungwana, amejaa hisia na sidhani kama ameomba

Anasema mkopo unatolewa kupitia portal, sasa waombaji kuitwa kwa ajili ya semina anaona ni mpango wa kuombwa rushwa, utaombaje kupitia portal bila kupewa semina?
Hongera kwa kutoa ushuhuda kuwa hakuna rushwa na umepata hao waliokuwa wanakukatisha tamaa kuwa hautapata wanajilaumu ila mwakani wataomba
Acha hizo huyo ni mkweli huku maswa ndio mambo yao hayo
 
Halmashauri zingine pesa zimetoka mda tu....mwezi wa 11, hakuna rushwa ya aina yoyote Ile....Mimi nimepata bila kumjua mtu halmashauri, nimejisajili hazina portal,nikapigiwa simu niandike barua nitumie kwa watsap,baada ya hapo....nikapigiwa simu nidownload mkataba, nimpelekee boss wangu asign, baada ya hapo nikawekewa mzigo...Tena walinipigia wenyewe kuwa mzigo umeingia. Huo ndio uzoefu wangu....kwetu hatujaombwa hata mia. Wenzangu waliniambia huo mkopo kupata hauwezi maana wanagawana wakuu wa idara tu.....nikawaambia kuwa hacha niombe Ili niwe sehemu ya ushuhuda wa haya mnayosema.....mwisho wa siku nimepata.
Ulikaa siku ngapi hadi mchele kuingia kwenye Akaunti?
 
Back
Top Bottom