Kumekuwa na matangazo mbalimbali yanayohusiana na mikopo kwa wafanyakazi nadhani ni Tanzania Nzima.
Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.
Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.
Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.
Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.
Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.
Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.
Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote
Mfano kwa wilaya ya Uyui kuna 400, Tabora manispaaa kuna bilion 3, kwanza tunashikuru viongozi wa wilaya na mkoa kwa kutangaza mikopo hiyo kwani kuna wilaya ya nyingine na mikoa hakuna kabisa matangazo ya mikopo hiyo. Changamoto ya mikopo ni vishoka ambao ni maafisa utumishi na watumishi wengine wasiowaaminifu kwenye majukumu yao.
Mfano, nimeona tangazo la barua ya Tabara mjini watu waandike barua kisha wapate semina, hapo ndio Rushwa inapoanzia kwani kikawaida huwezi andika barua bila kuweka maji ya kunywa vinginevyo barua yako haitofanyiwa kazi. Pia Rushwa ya ngono itatawala kwa wadada kwani ikumbukwe mikopo hiyo haina riba.
Mikopo wafanyakazi wameambiwa waombee hazina portal, watu wajisajili kisha waombe, na wakishaomba mikopo italipwa kupitia Mishahara yao na makato yataingizwa na maafisa utumishi kulingana kiasi kitachoombwa.
Sasa hii ya kuitana na kuanza kupeana semina ni ulaji mwingine ambao viongozi wanautengeneza. Wafanyakazi wamekuwa wanachukua mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha na hazijawahi kutoa semina.
Kinachofanyika mkoa wa Tabora ni kutengeneza mazingira ya Rushwa kwa sababu barua haziitajiki katika maombi haya.
Nimeona pia Uyui wamewaambia watu waombe kupitia hazinal portal lakini anayehusikana kuingiza makato amekuwa akipigiwa simu hapokei tangu tangazo litoke na pia anajuzingusha kukutengenezea mazingira ya ile 10% ambayo lazima iachwe.
Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kututoa katika analojia kutupeleka katika digital kupitia mifumo yake mingi ambyo imeianzisha mfano "EES" salary slip portal na nk. sasa tusirudi kwenye mambo ya kuandika barua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunapingana na serikali.Tanzania ni yetu sote