Ajira Utumishi - Recruitment portal

Ajira Utumishi - Recruitment portal

pia opera web browser inachangia mimi niliiacha nikatumia Google chrome ikawa sikupata tabu kabisaaaaa
 
wakuu naomba kujua jinsi ya kuandika cover letter kwenye hii ajira portal
 
wakuu naomba kujua jinsi ya kuandika cover letter kwenye hii ajira portal

Unaandika barua kama kawaida kwenye word...ukimaliza unaweza ibadili hiyo barua kuwa katika pdf then unaenda kwenye portal yako sehem ya other attachment..ukifungua utaona sehemu ya barua, kisha unaattach barua yako na ikiwa tayari unasave. Nadhani nimekusaidia..
 
Unaandika barua kama kawaida kwenye word...ukimaliza unaweza ibadili hiyo barua kuwa katika pdf then unaenda kwenye portal yako sehem ya other attachment..ukifungua utaona sehemu ya barua, kisha unaattach barua yako na ikiwa tayari unasave. Nadhani nimekusaidia..

siku hizi wameboresha kidogo!
barua unaiattach sehemu yenye kazi husika kabla hujaconfirm, kwa mfano......!

[h=1]Application Confirmation for RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT GRADE I[/h]
I declare that the information provided in my profile is complete and correct to the best of my knowledge and matches the criteria for this Post (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT GRADE I).I understand that any false information supplied could lead to my application being disqualified or my discharge if I am appointed.

Please attach your Appliation letter Here.
Cancel
 
Wakuu hivi kwenye kuattach vyeti inazingua sana?
Inaload Massa!!
 
Wakuu hivi kwenye kuattach vyeti inazingua sana?
Inaload Massa!!

Watumiaji wa mtandao ni wengi sana, so jaribu kufanya hivyo mida ya jioni ama usiku wakati mtandao umetulia na watumiaji ni wachache sana.
 
siku hizi wameboresha kidogo!
barua unaiattach sehemu yenye kazi husika kabla hujaconfirm, kwa mfano......!

Application Confirmation for RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT GRADE I


I declare that the information provided in my profile is complete and correct to the best of my knowledge and matches the criteria for this Post (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT GRADE I).I understand that any false information supplied could lead to my application being disqualified or my discharge if I am appointed.

Please attach your Appliation letter Here.
Cancel

asante sana mkuu, nimehangaika kuitafuta pale bila mafanikio. ila nikasema niende jf huwa hakishindikani kitu. sasa nimepata jibu.
 
Msaada jaman et copy of certificate ni lazima uzipeleke mahakaman ziwe testify ndyo uapply!!?
 
Msaada jaman et copy of certificate ni lazima uzipeleke mahakaman ziwe testify ndyo uapply!!?
Unamaanisha viwe certified? Kwenye hii recruitment portal hapana....labda uangalie tangazo linasemaje. After all kwenye hii portal unascan original certificates si kopi
 
nlishajaza portal ikafika asilimia 92, nkatuma aplication badae nkakumbuka nlisahau picha, sasa nkifungua account niki PREVIEW Ni upload inagoma, ina load badae inaleta ujumbe huu THE FILE YOU ARE ATTEMPTING TO UPLOAD IS NOT ALLOWED,
nifanyaje hadi ikubali, je nsipo upload picture ikakubali WANAWEZA WAKANI DISQUALIFY?
 
.labda uanze kwa kuitazama format ya picha yako kama ni TIF, PNG au GIF basi fanya kui-save ikiwa katika JPG format, kisha jaribu tena kui-upload.
 
Hiyo picha utakua umescan mkuu kwa pdf ndiyo maana inagoma,piga picha kwa format ya hzo ulizoambiwa hapo juu itakubali tu fasta.
 
Back
Top Bottom