Ajira Utumishi - Recruitment portal

Ajira Utumishi - Recruitment portal

Wana jf naomba kujuzwa,mimi niliapply nafasi utumishi mwezi huu na dedline ilikua tarehe 24/7/2015
but nimecheki recruitment portal upande wa application status wameandika-application review in progress,je wanamanisha nini?
 
dah nenda kasome english course na watoto wa darasa la 3
 
bure kabisa wewe...ulipataje degree yako yani very simple language inakushnda?...
Wanamanisha wanaendelea kupitia cv...
Ndorobooo wewe kwa kutuaibisha wasomi,
 
Wana jf naomba kujuzwa,mimi niliapply nafasi utumishi mwezi huu na dedline ilikua tarehe 24/7/2015
but nimecheki recruitment portal upande wa application status wameandika-application review in progress,je wanamanisha nini?

Hio red highlighted ina maana kuwa ombi lako linafanyiwa kazi, wadau tuwe wapole kidogo katika kuelimishana maana wote hatufanani taaluma hapa.
Stupid is your Ass.....Mutter Fanta!!!!!!!:A S-rap::A S-rap:
 
ii forum sio ya akina degree olders, instead great thinkers. jamaa anauliza vizuri unamjibu لننمالی kueni watu wa msaada kama uwezi kumsaidia pita tuu, sio lazma kukoment.
 
Wewe uliyebarikiwa kuelew lugha ni vema ukatoa msaada kwa wasiojua,,sidhan kam mkuu hakuelewa kitu kwenye ayo maneno,ila nafikiri alitaka kujua labda inamaana nyingine kwnye ajira aliyoomba,,tuelimishane tu.
 
Wana jf naomba kujuzwa,mimi niliapply nafasi utumishi mwezi huu na dedline ilikua tarehe 24/7/2015
but nimecheki recruitment portal upande wa application status wameandika-application review in progress,je wanamanisha nini?

Wanamaanisha maombi yako yanafanyiwa kazi so endelea kusubiri...wakianza kuita for interview utajulishwa.
 
Wakuu salaam.

Hii recruitment portal inazidi kuwa na matatizo. Kuna mtu namsaidia kujirejista tangu jana,tunafikia hatua ya kurejista lakini ile meseji inayotumwa katika email ili mtu afanye activation ya account yake haiji. Tumejaribu kurejista kwa email nyingine leo tatizo ni lile lile.

Kuna jamaa mmoja pia kaniambia anakumbwa na shida hii.Je tatizo ni nini? Hawa secretarieti hawayaoni haya?

Ninaweza kufanya nini?
 
nami kila nikiweka form academic qualification na picha inasumbua sijui tatizo ni nn
 
Kama una PC jaribu kujiregester mida ya usiku kuanzia saa 5 mtandao uko poa na fasta kuliko mchana kwa sababu watumiaji ni wengi sana!
 
ii forum sio ya akina degree olders, instead great thinkers. jamaa anauliza vizuri unamjibu لننمالی kueni watu wa msaada kama uwezi kumsaidia pita tuu, sio lazma kukoment.

Hapo kwenye red ni 'holders'
 
Kwa mfumo huu wa online application, nakuhakikishia kuwa uwezo wako ndio utakufanya upate kazi. Maana kuna michujo ndio itakayo kupeleka katika ajira.

Naona kidogo ile kasumba ya kujuana inapungua.
 
Back
Top Bottom