Ajira Utumishi - Recruitment portal

Vp kama picha nikiiweka kwenye other attachment maana kule nimejaribu inakubali...ila kimsingi sio sehemu yake
 
wakuu mm dashboard inasoma 54% bdo cja attach academic qualifications na ukitaka kuatach haikubali nmejaribu ucku ndo kabisa website inakuwa hai exist nifanyaje sasa na deadline kesho
 
Hawa jamaa wa utumishi wanajichanganya sana. Kuna mahali wameweka unatakiwa kuattach transcripts wakati kwenye portal hakuna hiyo option.
Then wameweka unatakiwa uweke certified certificates so mtu lazima atoe kopi cheti then kigongwe mhuri wa advocate ndio unaattach wakati wangeweza kuwaambia watu wa-upload vyeti bila kuwa certified na wakakagua siku ya usaili.
 
Hawa jamaa wa utumishi wanajichanganya sana. Kuna mahali wameweka unatakiwa kuattach transcripts wakati kwenye portal hakuna hiyo option.
Then wameweka unatakiwa uweke certified certificates so mtu lazima atoe kopi cheti then kigongwe mhuri wa advocate ndio unaattach wakati wangeweza kuwaambia watu wa-upload vyeti bila kuwa certified na wakakagua siku ya usaili.

Mkuu mbn unabug, mi nimetoka kufanya usahili juz tu vyet havijawa certified wala hakuna transcript.
 
Mkuu mbn unabug, mi nimetoka kufanya usahili juz tu vyet havijawa certified wala hakuna transcript.

Uko sahihi mkuu.. Tena hawataki vyeti vingine kama..mkulima bora, kiranja shuleni, mkuu wa dini n.k wanataka vitatu tu..form 4,6 na chuo.
 
Dah wapendwa nimeumia sana, niliomba nafasi ya Engineer II Tanzania Minerals Audit Agency kupitia huo mfumo wa Recruitment Portal na Application Profile ilifika mpaka 92%, ila shortlist imetoka Jana na jina langu halipo..ki ukweli niko very discouraged Nina qualifications zote KwaZulu hio nafasi na nilifanya online application kwa utulivu na umakini mkubwa sana kila kitu kilikuwa successfully.. Lakini end of the day jina langu halipo inauma sana..msaada wapendwa nifanye nini? Coz walioitwa usaili wa kwanza wa kuandika ni tarehe 14 November...Je naweza kwenda offisi za utumishi na kupata msaada??
 
Dah wapendwa nimeumia sana, niliomba nafasi ya Engineer II Tanzania Minerals Audit Agency kupitia huo mfumo wa Recruitment Portal na Application Profile ilifika mpaka 92%, ila shortlist imetoka Jana na jina langu halipo..ki ukweli niko very discouraged Nina qualifications zote KwaZulu hio nafasi na nilifanya online application kwa utulivu na umakini mkubwa sana kila kitu kilikuwa successfully.. Lakini end of the day jina langu halipo inauma sana..msaada wapendwa nifanye nini? Coz walioitwa usaili wa kwanza wa kuandika ni tarehe 14 November...Je naweza kwenda offisi za utumishi na kupata msaada??
Ulikidhi vigezo vyote vya tangazo la kazi.? Hilo ndo linaweza kuwa tatizo., unaweza ukafanya online application na ukaambiwa ni successfully lakini kumbe kuna vigezo vya tangazo la kazi hukuvitimiza
 
Tafuta kwanza tangazo la kazi uliyoomba soma vigezo vyote kw makini halafu linganisha na profile yako kama itakuwa una vigezo vyote basi labda wameangalia performance
 
Vigezo ndio issue hata mimi niliomba lkn sina experience ya three years wameninyima.
 
Kama nilivyosema wapendwa nilifanya application kwa utulivu na umakini mkubwa sana..masharti na vigezo vyote vilizingatiwa, kila taarifa au documents iliyohitajika niliiweka tena kwa format iliyoelekezwa...don't know what happened
 
Kama nilivyosema wapendwa nilifanya application kwa utulivu na umakini mkubwa sana..masharti na vigezo vyote vilizingatiwa, kila taarifa au documents iliyohitajika niliiweka tena kwa format iliyoelekezwa...don't know what happened
Maana yangu ulitimiza kigezo cha three years experience.? Usije kuwa ni fresh from school au experience yako ni less than three years.
 
Sure namm tatizo kama lako limenikuta profile yangu 92 %nimeaplay nafasi 2 bt am not shortlisted am speechless
 
Kujaza profile ni sahihi lakini kila job vacancy wakitoa inakuwa na vigezo vyake eg.year of experience,professionals flan,age n.k je vyote hivo vimetimia?!kama vimetia vizur tuambie tuanze uchunguzi
 
Hiyo sio kweli ukiangalia kwenye applicatn status inandika "application review in progress" mm iliandika hivyo hadi naitwa usaili
 
Kwa hiyo unadhani huwa hawaangalii vigezo!? Kuandika app review sio tatizo ila jua kuwa wanaangali profile yako na job requirements
 
Back
Top Bottom