Xiuying

Member
Mar 19, 2017
31
10
Nawasogezea hii vijana ,
Mpya kabisa . kila la kheri

IMG_20230720_165717_822.jpg
IMG_20230720_165723_506.jpg
 
Pale mwanzoni na mwishoni mwa tangazo sijaona neno "IMEZUILIWA". Matangazo yote ya kijeshi huwa yana kawaida ya kuanza na neno hilo. I
 
Nina miaka 21 tu. Pale kwenye Leaving Certificate hatukupewa shule labda niweke cheti cha form four
Nenda shuleni uliko malizia omba wakuandikie barua ya utambulisho wakugongee mhuri.ambatanisha na document zako.usipuuze dogo utakuja kunishukiru baadae ninao ushuhuda.
 
Back
Top Bottom