Wote ........coz yote ni mafunzo ya awali ya kijeshiHivi hii kupitia JKT ni wote wa mujibu na kujitolea ama kujitolea pekee!?
Mujibu labda uwe na connectionHivi hii kupitia JKT ni wote wa mujibu na kujitolea ama kujitolea pekee!?
Dah, nipo chuo mwaka wa pili na nilipita jkt sijuiniombe kwa Cheti cha form four!?Wote ........coz yote ni mafunzo ya awali ya kijeshi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Duh! AseeMujibu labda uwe na connection
Uchawi ni umri ......kama unatumia 4 basi lazima uwe na miaka 18 ...25Dah, nipo chuo mwaka wa pili na nilipita jkt sijuiniombe kwa Cheti cha form four!?
Sio kweli......nna wadau wengi tu Baada ya kumaliza chuo wameenda upolisi.....magereza Kwa kutumia cheti Cha mujibuMujibu labda uwe na connection
Nina miaka 21. Ah chuo ndugu hakuelewekagi kama vipi nijaribu tu bahati ikitiki itapendeza.Uchawi ni umri ......kama unatumia 4 basi lazima uwe na miaka 18 ...25
But maliza chuo.....tu utazikuta tu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapo baada ya kuomba kuna usaili, vipi usaili wao sio kisanga sana kupita!Sio kweli......nna wadau wengi tu Baada ya kumaliza chuo wameenda upolisi.....magereza Kwa kutumia cheti Cha mujibu
Labda ugumu ni kwenda jwtz Kwa chet Cha mujibu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Dah! Mchawi leaving certificate ya form four sina ninacheti tuUchawi ni umri ......kama unatumia 4 basi lazima uwe na miaka 18 ...25
But maliza chuo.....tu utazikuta tu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Omba bwana mdogo kama umri unaruhusuDah, nipo chuo mwaka wa pili na nilipita jkt sijuiniombe kwa Cheti cha form four!?
Nina miaka 21 tu. Pale kwenye Leaving Certificate hatukupewa shule labda niweke cheti cha form fourOmba bwana mdogo kama umri unaruhusu
Atazikuta nini?Uchawi ni umri ......kama unatumia 4 basi lazima uwe na miaka 18 ...25
But maliza chuo.....tu utazikuta tu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Weka SasaNina miaka 21 tu. Pale kwenye Leaving Certificate hatukupewa shule labda niweke cheti cha form four
Omba kijana chuo kipo tuu.Dah, nipo chuo mwaka wa pili na nilipita jkt sijuiniombe kwa Cheti cha form four!?
Nenda shuleni uliko malizia omba wakuandikie barua ya utambulisho wakugongee mhuri.ambatanisha na document zako.usipuuze dogo utakuja kunishukiru baadae ninao ushuhuda.Nina miaka 21 tu. Pale kwenye Leaving Certificate hatukupewa shule labda niweke cheti cha form four
acha kukalili, hizo ni barua na oder ndani ya jeshi,sio za matangazo publicPale mwanzoni na mwishoni mwa tangazo sijaona neno "IMEZUILIWA". Matangazo yote ya kijeshi huwa yana kawaida ya kuanza na neno hilo. I