Ajira za ualimu zilizotangazwa kutoka kwa mwajiri ambaye ni MDAs na LGAs, je unaenda kufundisha wapi na level gani?

Ema Jackson

Member
Apr 6, 2024
16
18
1: wana JF naomba kuuliza kuhusu hizi ajira za ualimu zilizotangazwa kutoka kwa mwajiri ambaye ni MDAs na LGAs, je unaenda kufundisha wapi na level gani?
Pia
2: je kuna faida yeyote kwa mwalimu aliye chini ya Tamisemi kuomba kuhamia MDAs na LGAs
3: nini tofauti ya kufanya kazi Tamisemi au wizara ya elimu Vs MDAs au LGAs.
Naomba majibu yenu wana jf kabla sijaomba hizi kazi.
NB chini ni PDF ya hizo kazi
Screenshot_2024-05-23-18-35-09-996_com.android.chrome.jpg
 
1: wana JF naomba kuuliza kuhusu hizi ajira za ualimu zilizotangazwa kutoka kwa mwajiri ambaye ni MDAs na LGAs, je unaenda kufundisha wapi na level gani?
Pia
2: je kuna faida yeyote kwa mwalimu aliye chini ya Tamisemi kuomba kuhamia MDAs na LGAs
3: nini tofauti ya kufanya kazi Tamisemi au wizara ya elimu Vs MDAs au LGAs.
Naomba majibu yenu wana jf kabla sijaomba hizi kazi.
NB chini ni PDF ya hizo kazi
ualimu ni wito, utakapopangiwa nenda ukafanye kazi kwa bidii na kuchochea mabadiliko katika kituo cha kazi utakachopangiwa 🐒

posho, mhahara na marupurupu mengine ni kwajili tu ya kukufanya usihangaike sana kutafuta mahitaji yako binafsi muhimu ya msingi....

kazi ni kazi tu, serikali haiwezi kutangaza kazi ambayo yenye maslahi duni. kwahiyo nenda kafanye kazi bila kua na tamaa mwingine anafanya nini 🐒
 
Ushauri mzuri lakini nahitaji kujua huyu mwajiri anakupeleka kuwa mwalimu wa level ipi na pia kuna watu ambao ni in-service chini ya Tamisemi lakini wanahitaji kuomba hizo kazi je maslahi yakoje huko Isije ikawa wanataka kwenda chini tu badala ya kwenda juu.
 
Ushauri mzuri lakini nahitaji kujua huyu mwajiri anakupeleka kuwa mwalimu wa level ipi na pia kuna watu ambao ni in-service chini ya Tamisemi lakini wanahitaji kuomba hizo kazi je maslahi yakoje huko Isije ikawa wanataka kwenda chini tu badala ya kwenda juu.
Nasubri majibu hapa
 
1: wana JF naomba kuuliza kuhusu hizi ajira za ualimu zilizotangazwa kutoka kwa mwajiri ambaye ni MDAs na LGAs, je unaenda kufundisha wapi na level gani?
Pia
2: je kuna faida yeyote kwa mwalimu aliye chini ya Tamisemi kuomba kuhamia MDAs na LGAs
3: nini tofauti ya kufanya kazi Tamisemi au wizara ya elimu Vs MDAs au LGAs.
Naomba majibu yenu wana jf kabla sijaomba hizi kazi.
NB chini ni PDF ya hizo kazi
Naomba unitofautishie TAMISEMI na LGAs kwanza
 
Nimeshapata wasiwasi tangu mapema. Sidhani kama huyu ni mwalimu.
Tujibu maswali yaliyo ulizwa kujibu swali kwa swali kunaweza kusilete maana mleta maada kauliza tofauti ya Tamisemi au wizara ya elimu vs MDAs au LGAs afu naye anaulizwa swali hilo hilo
 
Tujibu maswali yaliyo ulizwa kujibu swali kwa swali kunaweza kusilete maana mleta maada kauliza tofauti ya Tamisemi au wizara ya elimu vs MDAs au LGAs afu naye anaulizwa swali hilo hilo
Endapo ukiambiwa kajifunze kwanza maana ya TAMISEMI, Wizara, MDA and LGAs. Utasema umeonewa?
 
Ushauri mzuri lakini nahitaji kujua huyu mwajiri anakupeleka kuwa mwalimu wa level ipi na pia kuna watu ambao ni in-service chini ya Tamisemi lakini wanahitaji kuomba hizo kazi je maslahi yakoje huko Isije ikawa wanataka kwenda chini tu badala ya kwenda juu.
Mbona wameandika ata level ya mshahara daraja D kwenye kwa degree level ni hiyo hiyo anayolipwa aliyeko shule ya kata,kama kwenye ajira huna haja ya kuomba hizo hakuna ladha utakayobadilisha
MDA na LGA,unaweza pelekwa huko huko halmshauri au ukapelekwa wizara ya elimu au taasisi za wizara ya elimu n.k
 
Ushauri mzuri lakini nahitaji kujua huyu mwajiri anakupeleka kuwa mwalimu wa level ipi na pia kuna watu ambao ni in-service chini ya Tamisemi lakini wanahitaji kuomba hizo kazi je maslahi yakoje huko Isije ikawa wanataka kwenda chini tu badala ya kwenda juu.
mengine yote ya kwendra juu au chini, maslahi na huo utofauti sijui wa wizara na tamisemi utajifunza vizuri ukoje ukiwa kazini, na ndivyo mtu makini na mwenye maono ya mbali anaweza kufanya🐒

kujifunza kwa ambao hawako , hawakueko huko au walio shindwa, zaidi sana utakata tamaa tu, utababaika na mwishowe muda utasonga utakosa sifa na vigezo vya kuajiriwa kwenye kada yako, utajuta 🐒

umesomea ualimu kwa mapenzi na chaguo lako, sasa tena unaanza kuringa kwamba ntapelekwa kufundisha level gani? kwan wew umesomea level gani?

nenda kazi, huko utaamua pia ubadili pia hata mfumo au kada ukijiendeleza zaidi kimasomo...

this is how visionary young civil servant always do 🐒
 
mengine yote ya kwendra juu au chini, maslahi na huo utofauti sijui wa wizara na tamisemi utajifunza vizuri ukoje ukiwa kazini, na ndivyo mtu makini na mwenye maono ya mbali anaweza kufanya🐒

kujifunza kwa ambao hawako , hawakueko huko au walio shindwa, zaidi sana utakata tamaa tu, utababaika na mwishowe muda utasonga utakosa sifa na vigezo vya kuajiriwa kwenye kada yako, utajuta 🐒

umesomea ualimu kwa mapenzi na chaguo lako, sasa tena unaanza kuringa kwamba ntapelekwa kufundisha level gani? kwan wew umesomea level gani?

nenda kazi, huko utaamua pia ubadili pia hata mfumo au kada ukijiendeleza zaidi kimasomo...

this is how visionary young civil servant always do 🐒
Je kwa in-service anayetaka transfer kuwa chini ya MDAs kupitia ajira hizi unamshauri nini, maana mimi nimeulizwa ushauri kuhusu hili nikasema siijui vizuri MDAs na LGAs nikaishia kusema ingelikuwa wizara ya elimu wametangaza ningelimwambia aombe over Tamisemi lakini hii nimeshindwa kutoa mchango wangu kuhusu aombe transfer kutoka Tamisemi kwenda MDAs na LGAs kupitia ajira hizi iwe kama green pasture ya kusongea mbele.
 
Je kwa in-service anayetaka transfer kuwa chini ya MDAs kupitia ajira hizi unamshauri nini, maana mimi nimeulizwa ushauri kuhusu hili nikasema siijui vizuri MDAs na LGAs nikaishia kusema ingelikuwa wizara ya elimu wametangaza ningelimwambia aombe over Tamisemi lakini hii nimeshindwa kutoa mchango wangu kuhusu aombe transfer kutoka Tamisemi kwenda MDAs na LGAs kupitia ajira hizi iwe kama green pasture ya kusongea mbele.
Umeulizwa au mhusika mkuu ni wewe?
 
Walimu hao ni wa Sekondari na watapangiwa kufudisha katika shule za Sekondari za Halmashauri husika. Kikawaida, kwa WAlimu hata ajira ikitolewa moja kwa moja kutoka TAMISEMI, ukishapangiwa kituo cha kazi tu Mwajiri wako anakuwa Mkurugenzi wa Halmashauri husika
 
Back
Top Bottom