Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,348
Huyu ni shujaa apewe uraia
Ukisikia mtoto wa mbwa ndo huyoHilo cha mtoto
Sehemu alipojificha kuna hydraulics piping za kutosha na lile tairi linapozama linaacha gap ndogo sana kwa binadamu kuishi, wengi huwa wakifanya hivyo wanabanwa na landing gears...
Utafaidi vip hela wakàti huna mwanamke bossalafu, kuna Malaya anakuja taka yangu hela kwa kuniita honey tu..
nimlipie rent and buy her groceries...
sijasema sitombi,ninaomba but i won't to be pressed to meet up with her needs.Utafaidi vip hela wakàti huna mwanamke boss
Hatari sana mkuuMaisha ya Afrika ni nusu jehanamu.
Huwa nawahadithia watasha wangu basi wanashangaa sana na wengine kitambo walikua wakija huku, duh! wanaona haya maisha yetu ni hatari tupu very undesirable kwa quality ya maisha anayopaswa kuishi binadamu.
Nakumbuka kuna rafiki mmoja alikua anaona aibu eti tuwafiche na wakija tuwapitishe sehemu nzuri tu . Nikikumbuka nacheka sana.
Hilo cha mtoto
Sehemu alipojificha kuna hydraulics piping za kutosha na lile tairi linapozama linaacha gap ndogo sana kwa binadamu kuishi, wengi huwa wakifanya hivyo wanabanwa na landing gears.
Kingine ni feeezing point temperatures kwenye altitude ndege hizo inazosafiria, 40000 feets hakunaga oxygen
Kuna mengi sana yanashangaza kwenye tukio hilo , ila, all in all he is a very lucky man.
Hiyo inaitwa "afile munu asigile munu "Mwamba amepambana.
Uenda amewahi au ana rafiki kuli airport kampa ramani jinsi landing gear inavyofanya kaziItakua alipiga desa za kutosha na tutorial jinsi ya kukaa kwa taili ya ndege.
ZipoYeah ni kweli kwa muktadha wa kuto entertain kitu kama hicho. Ila huyu duh inatakiwa ahojiwe atoe mbinu na ikiwezekana itengenezewe documentary walau apige pesa katika hilo.
True hasa baada ya UHURU maisha ya waafrika yamekuwa ya hovyo Sana sababu ya viongozi wetuMaisha ya Afrika ni nusu jehanamu.
Huwa nawahadithia watasha wangu basi wanashangaa sana na wengine kitambo walikua wakija huku, duh! wanaona haya maisha yetu ni hatari tupu very undesirable kwa quality ya maisha anayopaswa kuishi binadamu.
Nakumbuka kuna rafiki mmoja alikua anaona aibu eti tuwafiche na wakija tuwapitishe sehemu nzuri tu 😂. Nikikumbuka nacheka sana.
Afu dogo imejulikana ni Mkenya wa miaka 22 tu, so utaona bado ni janki tu..Wana hatari si kidogo
Halafu ndege imetua mara mbili , kenya na uholanzi
He has had two landings , two take off
Jamaa ana bahati ya maisha asee.
Mungu kamlinda kwenye hatari kubwa sana, ila labda atakujaga kufa na ugonjwa au kifo kitakachotokana na sababu ya kawaida sana.Huyo mtu anamaisha marefu sana hapa duniani
Kufa atakufa tu kama binadamu wengine maana havikosi sababuMungu kamlinda kwenye hatari kubwa sana, ila labda atakujaga kufa na ugonjwa au kifo kitakachotokana na sababu ya kawaida sana.