Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,227
Tunategemea kuwa reli yetu inayojengwa , SGR, itakuwa ya kisasa na yenye spidi kali.
Spidi zinazotazamiwa ni hadi 160km/hr.
Hii ni spidi kali sana kwa mwendo wa ardhini.
Kwa vile kutakuwa na makutano(Railway crossings) nyingi sana kati ya njia za treni hiyo na barabara, tumejitayarisha kivipi kielimu ili kuondoa dhahama ya ajali zinazoweza kuwa mbaya sana.
Wananchi waanze kupewa elimu.