Ajali ya Meli: SMZ yakataa misaada ya VODACOM

upumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.

Mbona hawaituni TBC iliyopiga densi mchana kutwa, badala ya kuhabarisha WaTZ, mbona hatusikii wale wakaguzi wa meli kule pemba wamechulkuliwa hatua gani?

kwa serikali kujiingiza katika mgogoro huo ni kutowatendea haki Wawekezaji hao na ni uonezi usiokubalika, by the way aja;li imetokea Huko Znz kwa muda ule hakuna alijua kwa hakika ni janga kubwa kiasi katika siku ambayo Miss Tz ilifanyika

kwa logic hiyo hiyo, embu tupanue wigo wa watu/tasisi wa/za kulaumiwa na kususwa:

1. TFF - waliruhusu michezo ya ligi kuendelea huku janga likiwa limetokea saa chache kabla
2. CCM - waliendelea na kuzindua kampeni masaa siku hiyo hiyo janga lilipotokea
3. vyama vingine - sijui vilikuwa vinaendelea na kitu huko igunga
4.mimi mwenyewe (mi si mnafiki) - nilihudhuria harusi jioni ya siku ya janga
5. wewe je?
5. etc

kuna mtu atapona hapo kweli???
 
Ndugu zangu, huu msiba ni mkubwa sana. Karibu kila kaya Pemba imeguswa na huu msiba. Vodacom were in a very unique position to stop this useless pagentry kwa sababu wao ndio main sponsor. But they chose not to. Kila siku wanatupigia kelele kwenye tv na radio kuwa ndio mtandao unaoongoza Tanzania, wanaongoza kwa lipi? What do they (Vodacom) stand for?

Pili, kuna tofauti sana pale Mkuu wa nchi (haijilishi ni Tanzania au nchi nyingine) anapotanga msiba wa kitaifa. Hivyo nilitegemea kwa multinational company kama Vodacom wajue 'defination' ya msiba wa kitaifa. Watu waliokufa ni zaidi ya 200 na kuna miili mingi bado iko baharini. Narudia huu ni msiba wa kitaifa bendera ziko nusu mlingoti, vodacom wanajua maana yake?

Tatu, Kufanya kosa sio kosa, ila kurudia kosa. Ni zaidi ya masaa 24 sasa tangu hii blunder ya Vodacom itokee, lakini hakuna official statement toka kwa hii kampuni ya simu. Hivi wana communications manager hawa watu? Wanajua maana ya neno samahani? Kama kweli walikosea kwa nini wasiombe msamaha? Kukaa kimya maana yake wanatuambia sisi watanzania kuwa 'they were right' kuendelea na sherehe zao sio?

Nne, Vodacom ni sponsor mmoja, tunaomba mtu mwenye orodha kamili ya sponsors wote aweke hapa jamvini. Tunakata tujue ni kampuni ipi haina utu.

Tano na la muhimu kabisa. Nani alikuwa mgeni rasmi kwenye hii show ya ma-miss? Tunaomba jina lake, na alisema nini kama inawezekana tafadhali. Hawa watu ni wa kufundisha adabu.

Nyinyi viongozi acheni kupiga chenga, jibuni mawswali ya wananchi. Haya maswali yako yanahusika vipi na vodacom kama una akili ya kufikiri. Maswali yako yapeleke wizara inayohusika. Vodacom umeshaambiwa walikuwa wadhami tu.
 
Unashauri wangefanyaje? Wangeweka msiba ofisini kwao??
wangefuta miss tanzania ok, kama walishindwa kufanya siku nyingine, hiyo ni michezo tu utu kwamba waliokufa waniwateja waona wazalendo wa nchi hii, lakini pia huyo miss tanzania ni mwakalishi wa nchi hakupaswa kutafutwa siku ya msibana kama hatapewa bendera ya taifa kuibeba huyo hatakaye mpa hatakuwa na maswali ya kujibu pia
 
Mi naanza kuisusia CCM waliofanya uzinduzi wa kampeini siku ya tukio.
umenifanya nicheke, nilikuwa sielewi watu wanalalama nn hapa.
Watu wapakiwe kama magunia ya chumvi kwenye meli chakavu, izame, halafu badala ya kukaba koo mamlaka husika, mnang'ang'ana na vodacom na miss tz.
Pumbaf kabisa!
 
Ndugu zangu, huu msiba ni mkubwa sana. Karibu kila kaya Pemba imeguswa na huu msiba. Vodacom were in a very unique position to stop this useless pagentry kwa sababu wao ndio main sponsor. But they chose not to. Kila siku wanatupigia kelele kwenye tv na radio kuwa ndio mtandao unaoongoza Tanzania, wanaongoza kwa lipi? What do they (Vodacom) stand for?

Pili, kuna tofauti sana pale Mkuu wa nchi (haijilishi ni Tanzania au nchi nyingine) anapotanga msiba wa kitaifa. Hivyo nilitegemea kwa multinational company kama Vodacom wajue 'defination' ya msiba wa kitaifa. Watu waliokufa ni zaidi ya 200 na kuna miili mingi bado iko baharini. Narudia huu ni msiba wa kitaifa bendera ziko nusu mlingoti, vodacom wanajua maana yake?

Tatu, Kufanya kosa sio kosa, ila kurudia kosa. Ni zaidi ya masaa 24 sasa tangu hii blunder ya Vodacom itokee, lakini hakuna official statement toka kwa hii kampuni ya simu. Hivi wana communications manager hawa watu? Wanajua maana ya neno samahani? Kama kweli walikosea kwa nini wasiombe msamaha? Kukaa kimya maana yake wanatuambia sisi watanzania kuwa 'they were right' kuendelea na sherehe zao sio?

Nne, Vodacom ni sponsor mmoja, tunaomba mtu mwenye orodha kamili ya sponsors wote aweke hapa jamvini. Tunakata tujue ni kampuni ipi haina utu.

Tano na la muhimu kabisa. Nani alikuwa mgeni rasmi kwenye hii show ya ma-miss? Tunaomba jina lake, na alisema nini kama inawezekana tafadhali. Hawa watu ni wa kufundisha adabu.
Mkuu wangu, hivi haya mashindano ya u miss si yanaandaliwa na BARAZA LA SANAA TANZANIA - BASATA? Vodacom ni sponsor tu. Hivi sponsor ana mamlaka ya kusimamisha mashndano ya kumtafuta miss tanzania?
Ligi kuu ya vodacom iliendelea jana kama kawaida. Vodacom walikuwa na uwezo wa kuisimamisha ligi? yeye si sponsor tu ...anayasimamia ligi ni TFF ..!
 
No offence kwa znz atakayejibu haya maswali
2.ile miss tz ilipangwa toka mwezi wa 6 kuna watu walitoka mbal kuja kwa hii ishu je nani angegaramikia hasara yote+usumbufu?
Kwa hiyo wewe hapa unataka kusema thamani ya marehemu waliofariki ni ndogo kuliko gharama za kuendesha miss Tanzania? Hivi wewe siku ya harusi yako ikatokea mjomba wako amefariki mtaendelea na "sherehe"?

3.je igunga ccm walifanya nn?
Kila mtu ataadhibiwa kwa nafasi yake. Hao CCM wasubiri adhabu yao kwenye sanduku la kura.

4.vodacom walikuwa wadhamini wa hii shehere ina maana ikitokea majanga kama haya kazi zote zisitishwe kwa muda?
Kwani nani kasema kazi zote zisimame? Kinachopigiwa kelele ni burudani kuendelea wakati kuna msiba mzito
 
Mkuu wangu, hivi haya mashindano ya u miss si yanaandaliwa na BARAZA LA SANAA TANZANIA - BASATA? Vodacom ni sponsor tu. Hivi sponsor ana mamlaka ya kusimamisha mashndano ya kumtafuta miss tanzania?
Ligi kuu ya vodacom iliendelea jana kama kawaida. Vodacom walikuwa na uwezo wa kuisimamisha ligi? yeye si sponsor tu ...anayasimamia ligi ni TFF ..!

Inaelekea una underestimate the power and influence of a sponsor!!! Muulize JK atakuambia power na influence ya wadhamini!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ndo maana nilihoji vodacom wana kosa gani? Ni kweli hilo shindano lilikuwepo lakini voda walidhamini tu (na walikuwepo wadhamini wengine pia) na kama kawaida makubaliano ya udhamini yalifanyika muda mrefu uliopita na kila mdhamini alitimiza lililompasa kwa mujibu wa mikataba/makubaliano yao na waandaaji wa Miss Tanzania (Kamati ya Miss Tanzania inayoongozwa na Lundenga).

Kama ni lazima kulaumu, basi ilaumiwe Kamati ya Miss Tanzania ambao ndo wako licenced kuendesha shindano hilo.

Ndo tumekataa-period, we hujuwi kwamba yale mashindano yaliitwa miss vodacom, mbona hayakuitwa miss pepsi ebo!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
upumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.

Mbona hawaituni TBC iliyopiga densi mchana kutwa, badala ya kuhabarisha WaTZ, mbona hatusikii wale wakaguzi wa meli kule pemba wamechulkuliwa hatua gani?

kwa serikali kujiingiza katika mgogoro huo ni kutowatendea haki Wawekezaji hao na ni uonezi usiokubalika, by the way aja;li imetokea Huko Znz kwa muda ule hakuna alijua kwa hakika ni janga kubwa kiasi katika siku ambayo Miss Tz ilifanyika

kama ni kweli busara haikutumika! Wakususiwa walikuwa ni TBC, TV ya taifa ilikuwa inapiga taarab mfululizo wakati Watz walikuwa wakihitaji taarifa za tukio hilo la kuhuzunisha. Wengine ni CCM ambao walikuwa wakizindua kampeni zao Igunga wakati nchi nzima ilizizima kwa simanzi! Vodacom walikuwa ni wafadhili tu, wahusika hapo ni wizara ya habari, utamaduni na michezo, Waziri anatakiwa kujiuzulu! mbona hilo halisemwi?
 
Kombo, kuna mambo yanahitaji kuangaliwa kwa macho mawili. Hakika kwenye hili we ndo umetumia kichwa cha chini kufikiri.SMZ mlichokifanya ni sawa. VODA na wengine wote walioshindwa kuguswa na hili waendelee na tafrija zao. Hakika wasilete upuuzi wao kwenye majonzi.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Vodacom are sending out SMS MAAFA to 15599 to contribute 1000TZS and Mpesa any amount from 1000. Watumiaji wa Vodacom mmepokea hiyo SMS?
 
Kwanza nawapa pole wote waliofiwa. Kisha napenda kukosoa baadhi ya wachangiaji wanaosema ajali imeshatokea ni mipango ya Mungu!!! Mungu sio wa wafu, hivyo hapendi kuona mtu anakufa wala hampangii mtu leo kufa na mwingine afe kesho nk. Ingekuwa hivyo basi anaupendeleo maana umri wa e.g. m-Japan wa kuishi ni miaka 82 na m-Tanzania ni 49 (Kwa kigezo hicho ina maana anawapendelea na sisi anatuonea).
Ninachofahamu mimi, kicho ni mpaka uzeeni ila kutokana na sababu mbalimbali za magonjwa na ajali ndio tunajikuta watu wanakufa wakiwa wototo au vijana.
Nikirudi kwenye mada: SMZ kwa mtazamo wangu ingetakiwa mara moja iwawajibishe waliohusika kuruhusu chombo chenye hitilafu kubeba dhamana ya roho za watu (Ingawa hapa napo ninaona pana changamoto - Tutaendelea kuwa na utawala wa matukio mpaka lini???). Maana tunasubiri mpaka jambo litokee ndio na sisi (wao) viongozi ndio tunashtuka usingizini na kutoa tamko. Nashauri safu nzima iwajibike kuanzia juu mpaka chini. Kiongozi tumekuweka hapo ili utuongoze na kukutetea na sio kuona roho za watu kama kitu cha kawaida.

Kuhusu suala la voda, naamini katika kila jambo lazima apatikane asusa. Ila kama tukijua umuhimu wa kuishi na kwamba haitakiwi mtu kufa kwa uzembe uliokithiri namna hiyo lazima tungeguswa na tukio hilo. Haya yote ni kwamba tumezoea kusikia roho za watu zinapotea na bila kujali na kuchukua hatua madhubuti nyingine nazo zinapotea. Kwa hiyo imekuwa ni utamaduni wetu wa watu kufa kufa tu katika mazingira ya kizembe bila hata viongozi tuliowaweka kuwajibika. Hivyo siwezi kuwalaumu voda maana kwetu ajali ni kitu cha kawaida na hamna anaejali. Kipindi hiki lazima voda wajiulize kulikoni? au ndio viongozi wanaanza kuwajibika? au upande wa pili hawana uzoefu wa ajali?

Nafuatilia kwa makini suala hivi wakuu nijue mwisho wake utakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom