Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,019
- 454,035
kutolewa kafara na mchepuko na we huku mke wa mtundo tuwe makini mwenzangu unaweza kutolewa kafara hivi hvi
kutolewa kafara na mchepuko na we huku mke wa mtundo tuwe makini mwenzangu unaweza kutolewa kafara hivi hvi
Zinatokea chanzo gani?umeandika utumbo, pesa za majini zipo...usiamini
hahaaa Ameshaliwa mtu hapo ...acha kabisa hao watuWakinga bwana!
Weka na tafsiri ya lugha inayoeleweka tuelewe ulitaka kusema nini.Imbhombho nu luhala denti bwana
hahaaaaa live for something or die for nothing .....tuachie maisha Yetu aiseeeee"" hahaaHahahahhaa unaambiwa idadi ya mahindi ambayo jogoo atadonoa ndio miaka utayoishi.. then mahindi yanarushwa paaap ghafla jogoo anadonoa punje moja halafu anaikata nusu anakula na nusu anaacha ndio utajua kwanini pombe halali kisa maandamano!
Kwann zinaitwa mkundu wa nyani mkuuHapana..usichanganye na yule wa marx x pale usariver arusha..kaka yake alikuwa na harrier (mk.undu wa nyani)
hahahaa wewe mwenzangu aiseeee.....maish ya miaka mingi ya dhiki ya kazi gani sasa ...wakati kuna kufa ..pumbafuHata mimi utajiri huo wa mkataba ninautaka sana hata nikiishi mitano inanitosha maana nitakuwa nimeshasumbua raia
hahaaaa...yaani kama ndio mimi nakomba baadhi ya Pesa ..na chukua passport then breki ya kwanza UKDaaa....kwa hiyo saaizi atakaye rithi naye atafia Moro kwa ajali na ukitajwa kurithi hamna kukataa.....
daaaghh hyo alikuwa na beef namtoa roho aiseeehahah...huyo jamaa mbona ni wa mda sana..yule alikuwa anasema daslam mojaaaaa..haina mpambe..mark x hiyo...bams nalegeza kidogo...inapanda hiyo mshale uko kwenye 180 mbele haiend ..hahaha...magari haya noma sana
hahaaaaaa aiseeee """ maisha ya dhik sio mkuu"" acha tupate Pesa tu "" kwani tunaishi bila Pesa iliiweje ..mataifa makubwa yenyew yanapigana vita na kusbabisha uhasama kusufi wpate Pesa ....acha kabisaaaHahahaha hii niliiskiaga aisee, hivi ni kweli inakuwaga hivyo, aisee bora niwe maskini ila niishi full length of my life. Kuuwawa na majini sio kabisa aisee!
hahaaaaNi kweli mkuu,afu zamani nilikua naonaga ni vijana wanaobalehe tu ndo wanakua na hayo mambo,siku hizi nashangaa hadi watu wazima nao wako bize kwenye kelele za Altezza.
unataka?Wanaanza na punje ngapi?
daaahhh ileje huko nihatari kabisaa aiseeeHivi siyo ileje tena?
huyo mwehu hajui kitu achana naeumeandika utumbo, pesa za majini zipo...usiamini
hahahaHahhahah mpaka nimeogopa sijui huyo mke wa mtu alikufa
Umeongea jambo la msingi sana,lkn kwa uvivu wa wa Tz wakufikiri watakubishia hadi kesho,cha msingi wapika majungu,nikuwaacha waamini vile wanavyoamini,huwezi kuwabadilisha haraka kitu walicholishwa,na kuaminishwa toka wakiwa matumboni mwa mama zaoWabongo tumezidi ujinga, eti wanakufa kila mwaka...hiyo familia wapo wangapi na mpaka sasa wameshakufa wangapi?
Na hakuna pesa za uganga/masharti, ina maana kuna mfumo mwingine wa pesa tofauti na mfumo unaosimamiwa na benki kuu ya taifa? na hayo masharti yanakupa pesa kiasi gani? maana basi Wenye pesa wote ulimwengu huu wangekuja huku.
Duniani kuna pesa za aina mbili tu, pesa halali na pesa haramu...kuna wale wanaopata pesa kwa ubunifu/juhudi zao za kazi..na wapo wanaopata pesa kwa kudhulumu Wenzao, kuiba, kuuza bidhaa haramu kama dawa za kulevya, kutapeli wengine n.k.
Ndio maana Waganga na Mapasta feki wanatumia ujinga uliotujaa vichwani kutuambia wanaweza kutusaidia tupate pesa, ili hali yeye tunamkabidhi pesa halisi tulizozitolea jasho, nae ndio akanunue Vogue aje kuwatambia nalo.
Kama tukio linashabihiana na lililomkuta ndugu yake sidhani kama ni hali ngeni saana kutokea dunia hii, hata yule binti wa Whitney Huston alikutwa na umauti kwa njia ile ile kama iliyomkuta Mama yake.
Hebu Wabongo tuache ndoto za mchana na imani za kijinga.
Kama ni rahisi hivyo kajisajili tu iringa hapo upige hela kisha upige mbung'a nang'ado!hahaaaaaa aiseeee """ maisha ya dhik sio mkuu"" acha tupate Pesa tu "" kwani tunaishi bila Pesa iliiweje ..mataifa makubwa yenyew yanapigana vita na kusbabisha uhasama kusufi wpate Pesa ....acha kabisaaa
Cha ajabu ni nini kwa mfanoHizo mali itakuwa za Kichawiii bhasii maana sio kawaida