kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,328
- 5,399
Habari za asubuhi wanabodi nasikitika kutangaza kifo cha ndugu Obadiah Sanga kilichotokea Morogoro, Mikese kutokana na ajali ya gari.
Ndugu Obadiah ndiye aliokuwa mmoja wa warithi na wasisimamizi wa mali alizo acha kaka yake Kizito aliofariki mwaka jana kwa ajali Morogoro na ndiye aliokuwa mlezi na baba wa familia ya kaka yake alioacha mke na watoto.
Ajali Morogoro: Mmiliki wa hoteli ya Villa Park apata ajali mbaya na kufariki dunia
Pumzika mali pema peponi ndugu Obadiah na pole ziende kwa wafiwa na wote walioguswa na msiba huu.
Habari zaidi kuhusu mazishi tutajuzana humu
Ndugu Obadiah ndiye aliokuwa mmoja wa warithi na wasisimamizi wa mali alizo acha kaka yake Kizito aliofariki mwaka jana kwa ajali Morogoro na ndiye aliokuwa mlezi na baba wa familia ya kaka yake alioacha mke na watoto.
Ajali Morogoro: Mmiliki wa hoteli ya Villa Park apata ajali mbaya na kufariki dunia
Pumzika mali pema peponi ndugu Obadiah na pole ziende kwa wafiwa na wote walioguswa na msiba huu.
Habari zaidi kuhusu mazishi tutajuzana humu