Poleni sana, nimesoma na kaka Mwingine alikua anaitwa Majeshi P... ,umenishtuaMmoja wa waliofariki katika ajali hiyo ni class mate na rafiki angu wangu nasoma nae chuo kimoja na course moja. Rest easy Majeshi
asante sanaPoleni sana, nimesoma na kaka Mwingine alikua anaitwa Majeshi P... ,umenishtua
Hapo ndo utashangaa, kama siyo bangi na viroba basi ni makafaraWaendesha malory wengi wako mwendo kasi sana. hapo mliman city kuna taa mbili za barabara bado mbele kuna njia ya mzunguko ila magari yanavyo pitaga hutaamini ni sehem ambayo kuna njia za wapita kwa miguu(zebra)
vioski miji mzima ni gharama mno, tena kwa miji yote, serikali haitaweza, hela hiyo, pia machinga wasingekaa kwenye hivyo vioski, mara nyingi serikali imejaribu kuwatengea masoko yao ila hawaendi huko, machinga wanataka kupanga barabarani kabisa wanakopita watu wakiamini ndio watauza sanaNi kweli hilo ni tatizo.
Sasa kuliko kwaanika barabarani na kukoswakoswa na magari bora mipango ifanywe sehemu za viosk mji mxima.