binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,898
- 22,274
Barabara zote zimefanywa masoko ! Mungu anatusitiri sana ! Na roho zao zipumzike kwa amani !! Mamlaka husika siku hizi zinafanya nini !?
👏🏻
Barabara zote zimefanywa masoko ! Mungu anatusitiri sana ! Na roho zao zipumzike kwa amani !! Mamlaka husika siku hizi zinafanya nini !?
Polisi wawaachie wachote mafuta ili lori lipungue uzito na wachomoe betri ili mafuta yaliyobaki yakauke.Habari Wakuu,
Nimepata taarifa ya ajali maeneo ya Mlimani City ambayo imetokana na lori kuacha njia na kuwazoa wafanyabiashara wanaouza bidhaa mbalimbali nje ya Mall ya Mlimani City.
Taarifa zinaeleza kuwa watu 3 wamefariki pale pale.
Naendelea kufuatilia na nitawajuza hapa.
======
UPDATES:
Watu watatu wamefariki, mmoja amejeruhiwa kufuatia ajali ya lori la mafuta mali ya Kampuni ya Transfuel Logistics Ltd Iringa (T828 DCB) lililokuwa likitokea Ubungo kuelekea Mwenge kupoteza mwelekeo & kugonga Kituo cha Daladala Mlimani City, leo Nov 23. Miili imechukuliwa na polisi
Kitu gani tena?Bwana bwana ukiona huelew kitu tafuta hata member yoyote hapa akuelekeze hizi zingine fedheha
Tatizo ni wanasiasa, siku za nyuma Serikali iliwazuia wamachanga kufanya biashara sehemu zisizo ruhusiwa wapinzani wakaja juu kuwatetea na kuwatumia kwenye kila maandamano ya kupinga Serikali huku wakiaminishwa kuwa wanaonewa. Serikali baada ya kuona wapinzani wanawatumia wamachinga kisiasa pale wanapozuiwa na Serikali kufanya biashara sehemu zisizo ruhusiwa, Serikali ikaamua kuwaruhusu wafanye biashara kwa uhuru na ndipo wapinzani wakakosa watu wa kuwaunga mkono wanapoitisha maandamano. Tatizo la siasa za nchi hii ni za kubomoa siyo kujenga ndiyo maana serkali ikifanya vibaya wapinzani wanashangilia na ikifanya vizuri wananuna . Upinzani Tanzania kwao ni kuiombea vibaya Serikali ishindwe kuleta maendeleo.
Waswahili husema usirukie kusema kabla hujajua mwisho wake!si umeona umebadili ni sawa na makorokoro ulio upload mwanzo?!
Hapana ila usikae na kufanya biashara karibu na njia ya malori.Sasa hiyo si ajali na sio kawaida? Kwa hiyo watu waache kupanda gari kwa sababu yakipinduka wanakufa?
kwa hiyo 'wanyonge' wetu unataka wale vipi sasa, maana sehemu zenye wateja ni pembeni ya barabaraHapana ila usikae na kufanya biashara karibu na njia ya malori.
Wafwa!!!
Uchaguzi ni wako.kwa hiyo 'wanyonge' wetu unataka wale vipi sasa, maana sehemu zenye wateja ni pembeni ya barabara
Wanyonge hawana hela ya kulipia frem mkuu, kodi ya mwezi mmoja tu ndio mtaji wote, halafu unatakiwa kulipia miezi 6, atawezaje?Uchaguzi ni wako.
Ufe na njaa au ufanye biashara kihalali kwenye fremu au utandaze biashara yako njia ya malori.
Ni kweli hilo ni tatizo.Wanyonge hawana hela ya kulipia frem mkuu, kodi ya mwezi mmoja tu ndio mtaji wote, halafu unatakiwa kulipia miezi 6, atawezaje?