Ajali mbaya yaua Ubungo njia panda

Ajali mbaya yaua Ubungo njia panda

Mimi juzi nilienda kununua mbuzi vingunguti kwaajl ya eid muda wa kurudi nilichukua bajaji ase jamaa alikuwa anachomeka tu mataa hafuatishi ,road 2 zote zake na mabalaa mengi alifanya

Ajali ishatokea lkn kwa uoni wangu bajaji atakuwa na makosa ,hawa jamaa akili zao zinafanana ,

R.I.p jembe
Mi jana tu nilikuwa kwene mwendo mdogo na kipaso changu...hamadi naona boda kaja kusimama mbeleangu anamwangalia abilia mdada upande wa pili wa barabara....unajua...kucheka unataman unashindwa unapata hasira lakin unashindwa ufanyeje nikasimama na kumwangalia tu alipojishtukia yupo seemu sio akaondoka mwenyewe. Hii sijui ni bangi, viroba au nini sijui.
 
Katika ufwatiliaji wangu...madereva wa mwendokasi wanafwatisha sana alama za barabarani....hata sehemu ya kivuko.....kama kuna watu lazma asimame awapishe wavuke.....tatizo la bajaj na pikipiki uwa wanakurupuka kila mahali........
Ni kweli hawa bajaj na pkpk huwa wanajifanya wajuaji sana barabaran...hawapendi kufata sheria wenyewe kila dk wanataka kuwah yaan wanajichomeka chomeka tu hovyo...kwa kweli wanaboa....wasitegemee huruma ya maderewa wa magar kuwaminyia brek kila cku wajifunze kufata sheria wapunguze hizo haraka zao..wanakera kwa kweli...R.I.P lakin dereva wa bajaji
 
Wameambiwa mabasi ya mwendo kasi ni kama matreni hayana makosa.
 
Izo ni sababu tu ila Mungu akitaka urudi kwake hata panya anaweza kukuua!japo pia bajaji na bodaboda wanaendesha hovyo sana
 
Ni kweli hawa bajaj na pkpk huwa wanajifanya wajuaji sana barabaran...hawapendi kufata sheria wenyewe kila dk wanataka kuwah yaan wanajichomeka chomeka tu hovyo...kwa kweli wanaboa....wasitegemee huruma ya maderewa wa magar kuwaminyia brek kila cku wajifunze kufata sheria wapunguze hizo haraka zao..wanakera kwa kweli...R.I.P lakin dereva wa bajaji
Sijui wanakuwaga na haraka za wapi. Siku zote unatakiwa ujionee huruma kabla mwingine hajakuonea huruma.....waache haraka wanapokuwa barabarani.....wazingatie alama.......
 
Lipo tatizo la waendesha mabasi ya mwendo kasi. Mazingira ambayo anaweza kuepusha ajali atalazimisha kana kwamba ni treni.
Hatuwez kukataa kuwa watu wa bodaboda na bajaj hufanya maamuz ya ovyo, lakini kwa kuwa ni Mtanzania na Fairly ni binadam mwenzako, fanya uwezalo kuepusha kifo cha mwenzako.

Je dereva wa mwendokasi ange kwepa bajaji halafu basi likauwa Watu wengi mgesemaje?
Hili nifundisho ambalo hatutaki kulikubali.
 
Bajaj na wenzao wa boda wanampa kaz sana muumba. Siku fulani usiku tukiwa kwenye daladala tulipishana na boda iko nduki haina taa hata moja na kapakia mshikaki halaf 'suka' kachomeka simu ya mchina mdomoni eti ndo taa. Na abiria wake wametulia kimya.
 
Tha guy ilikua kibinadamu tu baada ya kumgonga apunguze mwendo.....kuna vitu yule dereva alifanya ndio vimeamsha hasira za watu.

Nimeona watu wazima kabisa wakiwa katika hali flan ya kutaka kutoa machozi. Akina dada na wamama ndio kabisaaa ilikua ni vilio vyenye uchungu.

Hawa kina KAPALAMSENGE SIJUI kapalamsenga wao wanakuambia ni sawa tu alivyoiburuza iyo bajaj ili wakome nextime kupita njia ya mwendokasi,,,,
 
Mtoa Habari hukutoa picha ya sehemu yenyewe ya ajali ili watumiaji na wasomaji waweze kujua chanzo cha ajali na kujikinga na ajali kama hiyo siku za mbeleni!! Ila sio lazima picha ya marehemu!! Ila kwa hii barabara ya mwendo kasi kwa upande wake kuna makosa makubwa katika usanifu wa hii barabara!! Kuna kitu huwa kinaitwa "refugee island" ambayo kisheria inatakiwa kumuwezesha mvukaji akifika katikati aweze Kupumzika, Sema unavuka barabara mwendo kasi ukifika katikati unasimama na kusubiri kamalizia kwa magari mengine!! Hii sehemu ilitakiwa iwe pana na yenye kuweza kusimama hata pikipiki Sema Mita 2 ila kwa usanifu wa hii barabara imekosekana hata 0.5m Hakuna hivyo pikipiki kuvuka kwenye Zebra ni hatarishi kushinda maelezo!! Ila wanavuka ajali ikitokea tunamlaumu marehemu ila kosa la usanifu
 
oh unakuta familia yake inasubiri baba arudi nyumbani alete kitoweo bila kufahamu mwenyewe kashatoweka hapa duniani rest in peace nieumia sana.....
Kama wanalitambua hili wasingekuwa wanajichetua barabarani... wamekuwa chanzo cha ajali nyingi mno..
 
Kama wanalitambua hili wasingekuwa wanajichetua barabarani... wamekuwa chanzo cha ajali nyingi mno..
Kama wanalitambua hili wasingekuwa wanajichetua barabarani... wamekuwa chanzo cha ajali nyingi mno..
waliobaki nyumbani inawahusu nini? mi nawaongelewa wale walionyuma ya hawa wasababisha ajali kama ulivyowaita..................ingekuwa ni mtohani ungefeli
 
Kila mtu awe makini kufata sheria jamani, ajali nyingine zinakwepeka kabisa. Watu hujifanya wanaharaka maisha yenyewe unaishi mara moja tu.
 
RIP marehem Dereva
Ila kifo chao ni Mawaidha tosha kwa Drivers wa Bajaji na wenye kuuibia njia kama wewe.
Huwa mawaidha hayawaingii, mara zote wakienda kumzika mwenzao aliekufa kwa ajali huwa wanafanya fujo na makeke kibao barabarani yanayohatarisha usalama wao na watumiaji wengine wa barabara.
Muhimu ni muda wote kuwafikiria ukiwa barabarani ili kuepusha ajali maana wao hawana fikra.
 
Bus lilikuwa speed gani? Asije akakwepa bajaj akapindua bus.
Barabara za mwendokasi hazina sehemu ya kukwepea maana kuna kingo pande zote hadi vituoni au kwenye junction ndipo kuna nafasi.
Amefanya vizuri kulinda abiria wake.
 
Bajaj na wenzao wa boda wanampa kaz sana muumba. Siku fulani usiku tukiwa kwenye daladala tulipishana na boda iko nduki haina taa hata moja na kapakia mshikaki halaf 'suka' kachomeka simu ya mchina mdomoni eti ndo taa. Na abiria wake wametulia kimya.
Mimi kinachonishangaza si uendawazimu wa dereva wa bodaboda. Kinachonishangaza sana ni jinsi abiria wake alivyotulia wakati anaendeshwa kama mzigo! Tena utakuta mtu kaulamba unaona kabisa anaenda ofisini ila nae kapakiwa akili zake sijui zinakuwa kama dereva wake?!!
 
Back
Top Bottom