Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,424
- 8,046
Kwa hiyo kama tatizo ni taa basi wajiendee tuu bila kufuata sheria mkuuSeem ingine hatari ni njiapanda sheklango. Taa za kuruhusu gar kutoka manzes kwenda sinza zinawaka muda mfupi sana wkt seemu yenyewe ina watumiaj weng hasa hao boda/bajaj.