Ajali mbaya yaua Ubungo njia panda

Ajali mbaya yaua Ubungo njia panda

Hiyo ajali imetokea kwenye makutano ya barabara ya Shekilango na barabara ya Morogoro.
 
oh unakuta familia yake inasubiri baba arudi nyumbani alete kitowep nila kufahamu mwenyewe kashatoweka hapa duniani rest in peace nieumia sana
Inasikitisha mno cha msingi ni kuwa tayari maana hakuna ajuaye saa yake wala dakika yake na hata style ya uondokaji wake!
 
Lipo tatizo la waendesha mabasi ya mwendo kasi. Mazingira ambayo anaweza kuepusha ajali atalazimisha kana kwamba ni treni.
Hatuwez kukataa kuwa watu wa bodaboda na bajaj hufanya maamuz ya ovyo, lakini kwa kuwa ni Mtanzania na Fairly ni binadam mwenzako, fanya uwezalo kuepusha kifo cha mwenzako.
 
Duuh!!! Hizi mwendokasi hizi ni habari kama maderva wake wapo kama huyu aliyegonga
 
Kilichoniuma mnooo ni kwamba ndio bajaji yaweza ikawa ana makosa ila kibinadam kumburuta mtu vile lami na kumchuna ukicheck umetoka njia panda na brake unazo kwann usipunguze tu mwendo. Daah, sio poa kabsa.
Nafasi itamsuta mpaka kaburini
 
Nilikuwepo eneo la tukio. Makosa ni ya bajaji kwa asilimia 100. Ingawa mwendokasi angeweza kusimama kwa dharura.
 
AISEE,,kama nikweli, Huyo dereva hana ubinadamu hata kidogo,,hata km mwenye Bajaj alikuwa na makosa,,,sasa amepata faida gani kamuua Mtanzania mwenzie sababu yakujiona tu yupo juu kwakuendesha ilo jeneza,,,Mungu amlaze mahala pema marehemu,
Ubinadamu ndo unawaponza wabongo wengi wazembe. Ishu ni kufata taratibu tulizojiwekea. Basi.

Acha yakukute ukiwa kwenye haki yako na umetimiza wajibu.
 
Kilichoniuma mnooo ni kwamba ndio bajaji yaweza ikawa ana makosa ila kibinadam kumburuta mtu vile lami na kumchuna ukicheck umetoka njia panda na brake unazo kwann usipunguze tu mwendo. Daah, sio poa kabsa.
Acheni kuwazia ubinadamu maana hauhitajiki hapo. Walau angekua mwenda kwa miguu. Hao bajaji na toyo wakorofi sana njiani.
 
Tha guy ilikua kibinadamu tu baada ya kumgonga apunguze mwendo.....kuna vitu yule dereva alifanya ndio vimeansha hasira za watu.

Nimeona watu wazima kabisa wakiwa katika hali flan ya kutaka kutoa machozi. Akina dada na wamama ndio kabisaaa ilikua ni vilio vyenye uchungu.
Acha iwaume hasa ndo wajue kufuata sheria na taratibu
 
hah haha hah hah jamaa wanazingua breki zipo wana njia zao wamakamue wakifika kwenye njia panda hata kama taa zimewaruhusu udereva wa kujihami ni muhimu sasa kaua sifa inaenda kwake kwamba kawa dereva bora au ndio tunakaa tunasema ni mambo ya barabarani
Hajaua. Wa bajaji kajitoa muhanga
 
Lipo tatizo la waendesha mabasi ya mwendo kasi. Mazingira ambayo anaweza kuepusha ajali atalazimisha kana kwamba ni treni.
Hatuwez kukataa kuwa watu wa bodaboda na bajaj hufanya maamuz ya ovyo, lakini kwa kuwa ni Mtanzania na Fairly ni binadam mwenzako, fanya uwezalo kuepusha kifo cha mwenzako.
Ndugu, hao mabajaji ni wasumbufu sana. Acha wafewafe ndo akili zitakaa sawa. Ustaarabh unaepusha mengi sana.

Ubinadamu ndo umesababisha bonde la msimbazi kiwa kama lilivyo na mambo mengine mengi ya hovyohovyo kisa tu kuendekeza hiyo kitu pasipofaa
 
Acha iwaume hasa ndo wajue kufuata sheria na taratibu
Boda na bajaji zinakera, zinaudhi sanaa. Ila binafsi...kupitia dini yangu ninayo iamini....ningesimama kupunguza maafa zaidi. Kama ww umeona sawa, basi poa.
 
Nilikuwepo eneo la tukio. Makosa ni ya bajaji kwa asilimia 100. Ingawa mwendokasi angeweza kusimama kwa dharura.
Bajaji ni mtu mmoja. Mwendokasi pengine ina zaidi ya watu 20. Breki ya ghafla ingeleta maafa makubwa kuliko kuua bajaji mmoja na kibajaji chake.

Huruma huponza sana kwenye mambo ya kisheria au kikanuni. Kila mtu afate lake.
 
Hao wamezoea kuchomekea magari madogo afu ukimwelekeza anakunyooshea dole la kati huyooo anasepa
 
Back
Top Bottom