vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,704
- 1,410
Maana yangu ni kuwa hawa madereva wa bodaboda na bajaj wangekuwa wanajitambua ya kuwa wao ni mihimili ya familia zao...WANGEIHESHIMU BARABARA PAMOJA NA VYOMBO WAKAACHA.. VURUGU WENGI WAO WANAOZIFANYA NA ZINASABABISHA AJALI NYINGIwaliobaki nyumbani inawahusu nini? mi nawaongelewa wale walionyuma ya hawa wasababisha ajali kama ulivyowaita..................ingekuwa ni mtohani ungefeli