Ajali mbaya yaua Ubungo njia panda

Ajali mbaya yaua Ubungo njia panda

AISEE,,kama nikweli, Huyo dereva hana ubinadamu hata kidogo,,hata km mwenye Bajaj alikuwa na makosa,,,sasa amepata faida gani kamuua Mtanzania mwenzie sababu yakujiona tu yupo juu kwakuendesha ilo jeneza,,,Mungu amlaze mahala pema marehemu,

Tha guy ilikua kibinadamu tu baada ya kumgonga apunguze mwendo.....kuna vitu yule dereva alifanya ndio vimeamsha hasira za watu.

Nimeona watu wazima kabisa wakiwa katika hali flan ya kutaka kutoa machozi. Akina dada na wamama ndio kabisaaa ilikua ni vilio vyenye uchungu.
 
Nimeishuhudia kwa mbali kidogo. Barabara zetu hazitoi mwanya wa kukusanya umbea na picha. Ukicheza unasababidha ajali nyingine. Swali nililojiuliza kwa haraka. Je mwendo kasi hayana break?! Na Je bajaji hakujua matumizi sahihi ya barabara hizo au tatizo pesa mbele mauti nyuma?

Hilo basi limeigonga hiyo bajaji kwa mbele?
 
Nimeishuhudia kwa mbali kidogo. Barabara zetu hazitoi mwanya wa kukusanya umbea na picha. Ukicheza unasababidha ajali nyingine. Swali nililojiuliza kwa haraka. Je mwendo kasi hayana break?! Na Je bajaji hakujua matumizi sahihi ya barabara hizo au tatizo pesa mbele mauti nyuma?

hapo kwenye breki ndio nauliza mtoa mada anasema bajaj imeburuzwa umbali wa mita 60....inamaana mwendokasi ulikuwa umechochewa zaidi ya 100 kwa saa au
 
AISEE,,kama nikweli, Huyo dereva hana ubinadamu hata kidogo,,hata km mwenye Bajaj alikuwa na makosa,,,sasa amepata faida gani kamuua Mtanzania mwenzie sababu yakujiona tu yupo juu kwakuendesha ilo jeneza,,,Mungu amlaze mahala pema marehemu,
Polen
 
Kuna ajali mbaya imetokea Ubungo njia panda, basi la mwendo kasi na bajaji kugongana na kisha bajaji kuburutwa na basi hlo umbali wa kama meter 60.

Bajaji imeharibika haifai na dereva kaburutwa kachunika vibaya mno na kukata roho hapo hapo huku damu zikitapakaa barabarani.

Kumetokea hali ya taharuki kubwa baada ya wananchi wenye hasira kali kutaka kuleta fujo wakidai dereva huyo wa mwendo kasi alikua amekusudia.

Angalizo: Tuwe makini sana katika junction hizi za barabara tuwapo kwenye vyombo vya moto.


Chanzo: Nimepita eneo la tukio

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa. Roho ya marehemu ipumzike palipo pema. Amen
Aisee,kijana tumempoteza,any way siku zake zilishafika
 
hapo kwenye breki ndio nauliza mtoa mada anasema bajaj imeburuzwa umbali wa mita 60....inamaana mwendokasi ulikuwa umechochewa zaidi ya 100 kwa saa au
Ilishapata kusemwa hapa kuwa wakipiga breki nyingi matair huwaka moto
 
Ilishapata kusemwa hapa kuwa wakipiga breki nyingi matair huwaka moto
hah haha hah hah jamaa wanazingua breki zipo wana njia zao wamakamue wakifika kwenye njia panda hata kama taa zimewaruhusu udereva wa kujihami ni muhimu sasa kaua sifa inaenda kwake kwamba kawa dereva bora au ndio tunakaa tunasema ni mambo ya barabarani
 
dah roho ya marehem istarehe kwa aman
 
hah haha hah hah jamaa wanazingua breki zipo wana njia zao wamakamue wakifika kwenye njia panda hata kama taa zimewaruhusu udereva wa kujihami ni muhimu sasa kaua sifa inaenda kwake kwamba kawa dereva bora au ndio tunakaa tunasema ni mambo ya barabarani
Ni kweli mdau,maana ingawa wana njia zao ila kuna mahali wanaingiliana...........maeneo hayo wanapaswa kuwa makini sana
 
Kazi ya mungu haina makosa.

Jina la bwana lihimidiwe.

Nyani Ngabu;
Kazi ya Mungu hapo aliioneshea upande gani? Kwa dreva wa bajaji au dreva wa mwendo kasi?? Jamani, tuwaambie madereva wa bajaji na boda boda kuwa, wajue kwamba wamebeba wengine ambao hawahusiki na shida zao.
Wanapoendesha vyombo vyao wazijue sheria za asili tu. Baisikeli haiwezi shindana na pikipiki pia huyo pikipiki hawezi shindana na daladala sembuse mwenda kasi!!! Akisimama kumpisha mwenda kasi, hatachekwa bali anaepusha mauti.
 
Nyani Ngabu;
Kazi ya Mungu hapo aliioneshea upande gani? Kwa dreva wa bajaji au dreva wa mwendo kasi?? Jamani, tuwaambie madereva wa bajaji na boda boda kuwa, wajue kwamba wamebeba wengine ambao hawahusiki na shida zao.
Wanapoendesha vyombo vyao wazijue sheria za asili tu. Baisikeli haiwezi shindana na pikipiki pia huyo pikipiki hawezi shindana na daladala sembuse mwenda kasi!!! Akisimama kumpisha mwenda kasi, hatachekwa bali anaepusha mauti.

Umeanza kunisoma lini humu?
 
Huuu nmesoma mpaka nimesisimka..... Pole kwa wafiwa
 
RIP dereva wa Bajaji. ..maskini jamani. .dah!
 
Back
Top Bottom