Ajali mbaya leo asubuhi Dar es salaam

Ajali mbaya leo asubuhi Dar es salaam

So sad to loose my best friend
Rip Br
 

Attachments

  • IMG-20141028-WA0006.jpg
    IMG-20141028-WA0006.jpg
    31.3 KB · Views: 771
Barabara zetu ni safi kabisa na hasa ukizingatia speed upewayo na hasa ya mjini
kwanini usilaumu aina ya haya magari ya kijapan
kwa nini yanalipuka na kuunguza injini na gari lote wakati Tank lipo nyuma
kwanini milango inaji-lock na mikanda isifunguke, majeruhi wakakimbia
.

Comment nzuri sana,,, nimejiuliza sana alishindwaje kutoka??? Milango kwa nini isibaki wazi kabisa baada ya Ajali??? Kwa nini liwake moto,,,
hakuna bahati mbaya kila ajali ni uzembe wetu wenyewe,,,, kwa nini akimbie speed hiyo intown, kwa nini huyo naye amchomekee mwenzie!! Huu uzembe...
 
mpaka sasa sijajua habari ni ipi cause watu wanapeana mipasho kama wako kwenye taarab, hebu kuweni wastaarabu wakati unacomment kitu, na wewe mleta mada leta mada zilizojaa mtu ukisoma unaelewa...!!!
 
Rest in peace! Mungu alitoa na bwana atwaa jina la bwana lihimidiwe.Amina.
 
So sad indeed! May GOD console the relatives and friends...i know how painful it is to lose a loved one particularly through accident. I lost my lovely young brother sometimes last year in a tragedy similar to this one. May the Almighty GOD Rest Him In Peace!
 
mungu ailaze roho ya marehemu mahala alipopachagua akiwa hai
 
Mkuu design ni mbaya pengine hufahamu maana ya barabara nzuri i.e definition of public highway and classification of roads, huwezi kuwa na barabara anbayo junction yake na taa zipo hivyo kwenye design ambayo inajali watumiaji wa hiyo barabara, ukizingatia wanaosafiri kwa miguu na wanaoendesha magari. Swala la ubovu wa magari ni jingine unaweza kulianzishia thread yake lakini utukutu na ubovu wa miundo mbinu inachamgia kwa kiasi kikubwa. Mji kama Dar kwa nini uwe na mitaro kama hiyo kama sio kutokuwa na designers hafifu wasiojua wanachokifanya?

Angalia makutano ya barabara nyingi hapa Dar ni raia wangapi wanapoteza maisha? Tufike mahali tubadilike na wataalam wenye uwezo wawe ndio designers sio mambo ya kupeana kazi kama mjomba. Hiyo mitaro ni makaburi tayari, unaweza kubeza hili lakini mark my words in few years mitaro yote hutaweza kuiona.
Navuta picha ya drainage za Mandela Rd ambazo kuta zake tayari zimeanza kubomoka.
 
mpaka sasa sijajua habari ni ipi cause watu wanapeana mipasho kama wako kwenye taarab, hebu kuweni wastaarabu wakati unacomment kitu, na wewe mleta mada leta mada zilizojaa mtu ukisoma unaelewa...!!!

Kama hujaelewa kabisa, mtafute Ras Simba atakuelewesha na usipoelewa atakurudishia pesa yako.
 
Kweli mkuu...wakati ajali hiyo inatokea moja wa mashuhuda wachache wa mwanzo (eneo hilo halina watu wengi hasa asubuhi kama ile) alinipigia simu na kuniambia kuna mtu aliyekuwa anatokea total ndio alimchomekea na jamaa alipojaribu kumkwepa ndio akaingia kwenye mtaro na gari kulipuka hapo hapo........aliyechomekea hakusimama ingawa inasemekana aliona nini kimetokea......jamaa kafa kifo kibaya sana aiseee.....

We mwache ajifanye mjanja jamaa atamlalamikia kwa mungu na yeye atapata adhabu kali xana!!
 
Yule mtu aliyetoaga wazo la kujengwa mnara katika kila eneo itokeapp ajari kama kumbukumbu au kuwatahadharisha watu, hii nchi ingejaa minara.

Poleni wahanga
 
Back
Top Bottom