wooden flag
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 969
- 1,951
Lakini aliyefariki je, ni nani? Lesson number one: Kuwa highway sio tiketi ya kuendesha gari kwa mwendo mkali kwani likitokea jambo lolote itakuwa vigumu kujikinga.
Issue ni kuwa makini barabarani, unatakiwa uendeshe gari kama tano kwa wakati mmoja, bajaji, bodaboda, kiukweli kama unaifaham ile sehem huwezi kumlaum aliyefariki