Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Hii ni tofauti na ile ya kabuku?
Ni hiyo hiyo. Hilo shamba na mkonge la Kwaraguru lipo Kabuku, mita chache kabla hujafika kabuku stendi, ukitokea Tanga
Hii ni tofauti na ile ya kabuku?
Picha ipi mkuu? uwe unsoma wa makini.Wajua hiyo picha ni ya lini?
Kama anatoka kigoma kwenda tunduru hazifiki
Kigoma dar km 1500 dar tunduru via masasi 1200 = 2700km
Tarehe kumi mbili, mwezi wa kumi na mbili, watu kumi na mbili.He kafara mwisho wa mwaka?
ajali imenipoteza Auntie yangu R.I.P auntie, inauma sana mtu anapofariki kwa ajali ya gari ni bora mgonjwa utakuwa umemuuguza ila sio ulietoka kumuaga na mnapeana ahadi za muda mfupi baadae.
ajali imenipoteza Auntie yangu R.I.P auntie, inauma sana mtu anapofariki kwa ajali ya gari ni bora mgonjwa utakuwa umemuuguza ila sio ulietoka kumuaga na mnapeana ahadi za muda mfupi baadae.
ajali imenipoteza Auntie yangu ]
POLE SANA MDAU! Da Simanzi !
Nimepokea taarifa basi burdani likitokea korogwe asubuhi ya leo limepata ajali maeneo ya kabuku na inasemekana zaidi ya abiria 22 wamefariki hapo hapo
Inasemekana lilikuwa linatoka Korogwe likielekea Dar e Salaam.
Limeanguka katika kijiji cha Taula Handeni.
Limeua abiria 12 hapo hapo na majeruhi ni wengi kwa mujibu wa Breaking News ya Radio One.
Poleni sana mliopoteza wapendwa wenu, na majeruhi ugueni pole.
Tarehe kumi mbili, mwezi wa kumi na mbili, watu kumi na mbili.