kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,474
asante kwa taarifa ila bado picha tuone
RIP MAREHEMU WOTE
nilitamani nipige picha lakini mazingira kwangu hayakuwa mazuri...
asante kwa taarifa ila bado picha tuone
RIP MAREHEMU WOTE
tena,duh jamaa anampango wakuleta Yutong nini?Poleni sana
Hili bus huwa linatembea speed ya kawaida sijui nn imelisibu.
Dah... So sad 12 passenger??? Ooh Lord....
Hili bus huwa linatembea speed ya kawaida sijui nn imelisibu.