Ajali mbaya Handeni, basi la Burudani limeua 12

Ajali mbaya Handeni, basi la Burudani limeua 12

Pole wote mliopata ajari
mpone haraka na waliofariki Mungu awapumzishe.
 
Kaka unatoka wapi kwenda nchi gani, maana hakuna umbali huo kutokea mkoa wowote kwenda mkoa wowote nchi hii..

Inasemekana sehemu ambayo ni mbali sana kutokea Dar es salaam ni kigoma na ni Km 1500 tu, dar musoma km 1400, dar-bukoba km almost 1500 sasa wewe hizo km 2600 unatoka mkoa gani na unakwenda mkoa gani?

Na kiusalama na kiafya sidhani kama ni sahihi kwa dereva mmoja kuendesha umbali wote huo peke yako

Kama anatoka kigoma kwenda tunduru hazifiki
Kigoma dar km 1500 dar tunduru via masasi 1200 = 2700km
 
Basi hil linajaza abiria kutokana na unafuu wake wa naul.

R.I.P
 
Nimepokea taarifa basi burdani likitokea korogwe asubuhi ya leo limepata ajali maeneo ya kabuku na inasemekana zaidi ya abiria 22 wamefariki hapo hapo

kwa kutazama picha watu 22 hata 12 haiwezekani. Itakuwa ni huyo 1 wanavyosema. Hata kama ni tetesi basi ziwe zina angalau ukweli
 
mwisho wa mwaka ajali ni za kawaida jamani mpaka naogopa kusafiri wapumzike kwa amani waliotangulia na sisi tutafuata
 
Mungu awaweke mahala stahiki marehemu pia awape na fuu ya maumivu na kupona wale majeruhi ili warejee katika majukumu yao ya kila siku,uwape pia ujasiri,nguvu na uvumilivu wale wote waliofikwa na tatizo hili.
 
kwa kutazama picha watu 22 hata 12 haiwezekani. Itakuwa ni huyo 1 wanavyosema. Hata kama ni tetesi basi ziwe zina angalau ukweli

Picha ipi mkuu? uwe unsoma wa makini.Wajua hiyo picha ni ya lini?
 
Lile bus lina injini ya Lori...niliwahi kupanda toka Lgoba-Dar.....lipo juu juu sana na likipata ajali likaanguka ni disaster...RIP wote
 
jamaa wanasema linajaza sana abiria...

Nikweli hili basi lilijaza saana. Huku ni misiba kila mahali na ukweli ni kwamba walipoteza maisha ni zaidi ya 12. Hospitali ya wilaya Magunga hapafai
 
Sio uongo hili bus linajaza sana abiria kupita uwezo wake sijui ni unafuu wa nauli au nini??

Ni kweli unafuu nao unachangia 11,000 tu umefika dar. Watu wako radhi waning'ie....so sad kwa kweli.
 
Mda mfupi uliopita basi la Kampuni ya Burudani inayotoka Korogwe kuelekea Dar es salaam limepinduka na kuua watu 11 na wengine kujeruhiwa vibaya,basi hilo limepinduka maeneo ya Chonga.
Ajali hiyo imesababishwa na mwendo kasi ambapo dereva alishindwa kukata kona na hatimaye basi kupinduka.
Source:Wapo Radio
 
Mda mfupi uliopita basi la Kampuni ya Burudani inayotoka Korogwe kuelekea Dar es salaam limepinduka na kuua watu 11 na wengine kujeruhiwa vibaya,basi hilo limepinduka maeneo ya Chonga.
Ajali hiyo imesababishwa na mwendo kasi ambapo dereva alishindwa kukata kona na hatimaye basi kupinduka.
Source:Wapo Radio

mwisho wa mwaka huo!!!!!! Kama inawezekana mtu bora usisafiri decemba..hii miezi ya ajali sijui kwa nini
 
Wafiwa na wengine wote poleni sana, Mungu Awa rehemu walio tutangulia.

Sisi bin-Adam hatujui kifochetu kitakua lini na wala hatujui kitasababishwa na nini lakini ni vizuri kujikinga na ajali na mabalaa kama hizo. Madera wa TZ wanaoendesha mabasi utadhani wana ukichaa vile. Wengi wao hua hawa jali na wala hawa fikirii kuhusu ajali za barabarani, Wataendesha kwa kasi, wata over take kwenye conners au milima hata kama uta weka alama ngapi.
Basi hilo niliwahi kulipanda mara mmoja na nilikoma siku hiyo jinsi huyo dreva alivyo kua akiliendesha.
Hivi wenye hayo mabasi kwa nini wana kubali kua na madereva wa aina hiyo. Ni hasara kwa wasafiri na wenye mabasi. Na sisi abiria tuta enedelea kukubali mpaka lini kuyapanda mabasi kama hayo. Na serikali nao ina mipango gani kwa maderva na makampuni ya mabasi yanao ruhusu maderva wao kuya endesha magari Yao namna hiyo
 
Basically hizi Ajali Zitatumaliza!! Unakuta dereva anaendesha Gari so rough!! Abiria Maskini unakuta wamekaa kimya No one is Their to fight!! But the result is our Death!! Huwa mara nyingi namfuata dereva na Kumuuliza, umeambiwa tuna Haraka hivi? Huwa hawajibu or otherwise hukuona adui na kukutukana!! Naona Sasa serekali ifike mahali iseme enough is Enough kama Mtu hana license issued after full training from NIT (Chuo ca usafirisaj) wasiruhusiwe kuendesha mabasi ya abiria!! Na tumaanishe Hivyo!!
Hili Jambo Tungeomba Pinda kama Waziri Mkuu alisiamie na sio Kila siku Kupepesa Maneno!!!
 
Back
Top Bottom