Kaka unatoka wapi kwenda nchi gani, maana hakuna umbali huo kutokea mkoa wowote kwenda mkoa wowote nchi hii..
Inasemekana sehemu ambayo ni mbali sana kutokea Dar es salaam ni kigoma na ni Km 1500 tu, dar musoma km 1400, dar-bukoba km almost 1500 sasa wewe hizo km 2600 unatoka mkoa gani na unakwenda mkoa gani?
Na kiusalama na kiafya sidhani kama ni sahihi kwa dereva mmoja kuendesha umbali wote huo peke yako