AJALI: Leina Tours lapata ajali maeneo ya Kimara, Dar

AJALI: Leina Tours lapata ajali maeneo ya Kimara, Dar

Chanzo cha Ajali ni mwendo kasi inapelekea kumshinda na kuingia Mtaroni. Abiria wote watatu akiwemo Dereva waliojaribu kuruka wamegandamizwa na gari hadi muda huu!
 
Chanzo cha Ajali ni mwendo kasi inapelekea kumshinda na kuingia Mtaroni. Abiria wote watatu akiwemo Dereva waliojaribu kuruka wamegandamizwa na gari hadi muda huu!
Hawa madereva ya haya mabasi makubwa ya mikoani ni shida sana. Unakuta dereva kashakaribia kufika labda bado 20-5km lkn anavyokimbia na ku-overtake magari utadhani anawahi mbinguni.
At the end anaishia kupata ajali
 
Dah hatari,mmie ndomana nikiona bus ama lorry nyuma yangu huwa nayapa ishara yanipite tu,you can never trust them.
 
Aisee,ilikuwa wamefika kabisa jamaniii.. Roho za marehemu zipumzike mahali pema...
 
image.jpeg image.jpeg image.jpeg image.jpeg
Nimeoa picha,ila ile misingi ya pemben wadau ni MAJIPU,Pemben ya road
 
Nilisha wahi kupost uzi hapa, mabasi ya LEINA pamoja na KISBO, ni shida, serikali yamulikeni mabasi haya.
Wiki iliyopita nilikuwa natoka Arusha kuja Dar,nilipofika maeneo ya Mlandizi nilikutana na ajali,bus kampuni ya Kisbo imegongana uso kwa uso na gari ndogo na inaonekana na kusemekana kuwa dereva wa basi hilo ali-overtake sehemu ambapo hakustahili kufanya hivyo.Nadhani usemalo mkuu ni sahihi kabisa.
 
Kama tungekuwa tuna forecast basi me nadhan magari yanayoenda umbali mrefu zaid, kwa maana zaid ya masaa kumi bara barani yalipaswa yawe mapya, sisemi kwamba upya ndio kinga ya ajali laah, ila ni moja ya factor za ajali nyingi, kama shida ikiwa ni wawekezaji kutokuwepo, basi waweke flexibility ya nauli, ili watu waone return ya ku invest hapo.
 
Magari mabovu, barabara mbovu, madereva wabovu unategemea nini? zaidi ya ukinusurika usubiri kucoment rest in peace kwa wengine.
 
Back
Top Bottom