Arehemiwe!!!!!
Huo ukweli watu wengi wanaupinga sababu wapo kundi hilo!!!!
Mkuu iache ipite hii,imechanganyika na uchungu wa kufiwa!!!!! Objectivity unayoitegemea sio wote wanaweza ku deliver kwa sasa God willing siku moja itundikie uzi tu discuss haya yooote
Kwa mara ingine tena bara bara zetu zimeendelea kuwa kimeo na janga la Taifa.
Mhadhiri kijana: SUMA MWAITULO wa Crop Science and Production Department kapoteza maisha yake leo asubuhi.
Alikuwa anaendesha gari akiwa na watoto wake pamoja na mtumishi wa ndani (House girl). Wote waliokuwemo kwenye gari wamefariki.
Barabara zetu kwa kweli ni janga lingine ambalo linatakiwa liingizwe kwenye KATIBA mpya ili kudhibitiwa.
=============
JamiiForums:
Tunasikitika kuwafahamisha wana JF kuwa tumempoteza mwanachama huyu wa JF ambaye amekuwa active member tangu 2009 hadi umauti ulipomkuta.
Tunatoa pole nyingi kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mkubwa uliowakuta. Tupo pamoja nanyi katika wakati huu mgumu.
-----------------------------
RIP marehemu
Unapoanza kuendesha gari tayari wewe umeikaribia ajali usijifanye mjanja eti hukuwahi kupata ajali hiyo ni bahati tu,
Wewe nina imani huwa unaangalia "Discovery Channel" au "National Geographical"
Tutengeneze za kibongo kuhusu "Car Crush Investigation"
Ukagoneee.........!
Mungu azilaze roho za marehemu mahali Pema peponi amen. Ningependa kuongeza hapa kuhusu ajali hizi za barabarani, mara nyingi wanaosababisha hizi ajali hata hawaonekani kwenye sehemu ya tukio, utakuta uendeshaji mbaya wa mtu mwingine unaghalimu maisha ya watu wengine. Kuna kitu cha kuzingatia hapa, ambacho ni DEFENSIVE DRIVING (uendeshaji wa kujihami). Mara zote tuwapo barabarani tutumie njia hizi nne:
1. Observe - Tazama
2. Identify- Tambua
3. Predict - Tabiri
4. Decide --
Amua inauma sana unapopoteza familia ndugu na jamaa katika ajali kwa ajili ya kitu ambacho kingeweza kuzuiliaka, kama ku overtake ovyo, kukimbia sana bila sababu, kumbana mwenzio ambaye ameishafanya makosa kisa kumkomoa na kumsababishia ajali, usingizi, kutopunzika vya kutosha, turuhusu makosa ya wenzetu tuwapo barabarani, tuachane na simu, speed, na kuthamini maisha vilevile.DRIVE TO LIVE ARRIVE ALIVEMlinde kila mtumiaji wa barabara arudi nyumbani salama akaione familia yake.Usingizi wa sekunde moja unaweza kughalimu maisha au kusababisha kilema,
Mpuuzi wewe, naogopa kula ban ila jua nimekushushia matusi mengi tu, kama humjui mtu usichonge domo lako kisa unalo, na ntafrahi nikiskia siku umekufa kwa ajali. R.I.P dasa SUMA na mauncle zangu
RIP dada Suma na watoto,mtu unarisk unabeba familia nzima,tena MOROGORO road,aiseee
Ya gari langu la mkopo imeandikwa KIJAPAN LOLHapo kenye Red! Kaka imenigusa kunako.
To watch carefully with attention to details and behavior for judgment. Na katika Owner's Manual ya TOYOTA
wanaenda mbali kidogo kuitafsiri Observe, as to foresee any "unprecedented"
Je wangapi wamewahi kusoma Owner's Manual za magari yao?
Ulitakaje??????!!!!!!!Wengine angewakodia Taxi au????!!!!!!!