Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,135
- 1,000
Kwangu mimi niliefundishwa nae enzi hizo anaanza kazi SUA kama tutorial assistant miaka ya 2005 nimehuzunishwa saana na kuondoka kwake duniani yeye pamoja na familia yake, alikuwa mhadhiri mwenye upendo , mwema na mkarimu kwa wanafunzi akitufundisha namna jinsi ambavyo kilimo cha mboga na matunda kilivyo katika nchi yetu hii na jitihada za kuweza kuwa na wataalamu wa kutosha katika fani ya Horticulture nchini miaka ijayo yaani 2015 kuwa wasomi wa holticulture tanzania wataongezeka, nina majonzi lakini mungu wetu ni mwema hivo yeye amempenda zaidi pamoja na wanae. Pole kwa mumewe mungu ampe faraja kipindi hiki kigumu zaidi cha safari mpya ya masikitiko.
Enzi za uhai wake akiwa na familia yake kwa furaha na pendo la pekeee.
Katika mtandao wake nakumbuka aliweza kutuma post hii hapa, nanukuu ilikuwa ni JUN 20, 2013
"Muhubiri anasema:
"THERE IS A TIME FOR EVERYTHING, AND A SEASON FOR EVERY ACTIVITY UNDER HEAVEN:
a time to be born and a time to die, a time to plant and a time
to uproot, a time to kill and a time to heal, a time to tear down and a
time to build, a time to weep and a time to laugh, a time to mourn and a
time to dance, a time to scatter stones and a time to gather them, a time to
embrace and a time to refrain, a time to search and a time to give up, a time to keep and a time to throw away, a time to tear and a time to mend, a time to be silent and a
time to speak, a time to love and a time to hate, a time for war and a time
for peace." ECCLESIASTES:3:1-8
IN WHICH TIME ARE YOU?
Muhubiri anasema tena "I know that there is nothing better for men than to be happy
and do good while they live" ECCLESIASTES:3:12Nimetiwa moyo sana na maneno haya"
Hayo ndo maneno yake mwenyewe SUMA MWAITULO,enzi za uhai wake!!!! may you R.I.P, Ameni
Enzi za uhai wake akiwa na familia yake kwa furaha na pendo la pekeee.
Katika mtandao wake nakumbuka aliweza kutuma post hii hapa, nanukuu ilikuwa ni JUN 20, 2013
"Muhubiri anasema:
"THERE IS A TIME FOR EVERYTHING, AND A SEASON FOR EVERY ACTIVITY UNDER HEAVEN:
a time to be born and a time to die, a time to plant and a time
to uproot, a time to kill and a time to heal, a time to tear down and a
time to build, a time to weep and a time to laugh, a time to mourn and a
time to dance, a time to scatter stones and a time to gather them, a time to
embrace and a time to refrain, a time to search and a time to give up, a time to keep and a time to throw away, a time to tear and a time to mend, a time to be silent and a
time to speak, a time to love and a time to hate, a time for war and a time
for peace." ECCLESIASTES:3:1-8
IN WHICH TIME ARE YOU?
Muhubiri anasema tena "I know that there is nothing better for men than to be happy
and do good while they live" ECCLESIASTES:3:12Nimetiwa moyo sana na maneno haya"
Hayo ndo maneno yake mwenyewe SUMA MWAITULO,enzi za uhai wake!!!! may you R.I.P, Ameni