Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

kwanza natoa pole kwa ndugu wa mhadhiri,waswahili tunasema ajari haina kinga ingawa wenzetu wanapinga na mimi naona wapo right,inawezekana mhadhiri labda hakuwa na uzoefu wa kuendesha gari kwa long journey au tatizo la gari,anyway kwa barabara ya dsm moro angalau ipo katika viwango,kwa matumizi ya gari ndogo,sijui kwa malori,namuunga mchangiaji mmoja maana ni ajabu haya malori yanayosemekana yana beba mzigo mkubwa lakini huko yaendako hakuna tatizo,ilitakiwa barabara zetu ziwe bora maana kumbuka kuna nchi zaidi ya tano zinategemea kupitisha mizigo yao through our roads,sasa ukijenga barabara iliyo chini ya kiwango sijui unategemea nini,tena barabara yenyewe ya kawaida,zingekuwa za juu ingekuwaje,inabidi tanzania tuwe serious kwa kweli.

Yah! Kuna hizo elements kabisa. Za Uzoefu barabarani. Inasemekana alikuwa anataka kulipita gari mbele yake ndipo akakutana na Fuso liko mwendo mdundo.
 
Mbona wenzenu tunapita humo miaka nenda rudi hatufi? Alikuwa lena huyo mnasingizia barabara!
Mhaziri mzima unaacha kuajiri dereva proffesional kazi zote unataka kufanya wewe.
We unadhani udereva mchezo.
R.i.p mhadhiri na marehemu wengine walio kuwemo.
Mungu azidia kumtia nguvu mumewe na wanafamilia .

usiseme hatufi,bali shukuru Mungu kwa kuendelea kukupa zawadi ya uhai,ikifika mda wako utakufa tu hata kwa barabara zenye kiwango kwani hazitokei ajali.
 
kwanza natoa pole kwa ndugu wa mhadhiri,waswahili tunasema ajari haina kinga ingawa wenzetu wanapinga na mimi naona wapo right,inawezekana mhadhiri labda hakuwa na uzoefu wa kuendesha gari kwa long journey au tatizo la gari,anyway kwa barabara ya dsm moro angalau ipo katika viwango,kwa matumizi ya gari ndogo,sijui kwa malori,namuunga mchangiaji mmoja maana ni ajabu haya malori yanayosemekana yana beba mzigo mkubwa lakini huko yaendako hakuna tatizo,ilitakiwa barabara zetu ziwe bora maana kumbuka kuna nchi zaidi ya tano zinategemea kupitisha mizigo yao through our roads,sasa ukijenga barabara iliyo chini ya kiwango sijui unategemea nini,tena barabara yenyewe ya kawaida,zingekuwa za juu ingekuwaje,inabidi tanzania tuwe serious kwa kweli.

Me mwenyewe limenishangaza sana hili kwanini wapoteze mahela kujenga barabara ambazo haziwezi himili mizigo mikubwa ingali wanajua kuna bandari,tena ukizingatia usafiri wa reli bado ni utata mtupu.
 
RIP marehemu
Unapoanza kuendesha gari tayari wewe umeikaribia ajali usijifanye mjanja eti hukuwahi kupata ajali hiyo ni bahati tu,
 
mnamkata ngebe kwa kila hali,makampun ndio hayo hayo yakwenu mnatumia kila njia mpate tender za kutengeneza barabara feki,Magufuli peke yake hawezi mko wengi na mna nguvu kubwa,magogoni mnaenda hata na ndala,na haitusaidii sana,anyway vyanzo ajali za mara kwa mara kwa sasa tz inaweza kuwa..

uchakavu wa vyombo hivi vya moto

ujuzi hafifu wa kuvitumia

ulevi

miundombinu mibovu

vifaa feki i.e matairi

uzembe

Yaani ndo hapo huwa nachoka ! Ukimpinga magufuli kwenye issue ya mizani basi unaonekana nawe una lori! Hivi ni lini tutakuja kukubali plain facts?? malori yanaonekana yanaoverload Tanzania tu yakienda rwanda au zambia yako safi..... du! Tafakari Mtanzania !!!
 
R.I.P Suma na wote waliofariki kwenye ajali. Hapa duniani tunapita tu!
 
Mungu amsimamie katika wakati huu mgumu, R.I.P Suma na wanao
 
Umeona eeh! watu wanamjadili maghufuli badala kujadili ajali, poleni wafiwa wote
Watu siku hizi kwa kwenda nje ya mada hatujambo.

RIP Waliofariki, Poleni wafiwa.
 
Pole kwa wafiwa. Kuendesha mwendo mrefu kwa watu wasio na uzoefu ni tatizo pia nchini
 
R.I.P dada SUMA na ma uncle zangu na dada wa kazi!
Ni ngumu kuamini ila ni kuwaombea kwa Mungu, ni msiba mzito kwa famili hasa kwa Mme mana sasa amepoteza watoto wote wanne na mke pia!!
 
Mbona wenzenu tunapita humo miaka nenda rudi hatufi? Alikuwa lena huyo mnasingizia barabara!
Mhaziri mzima unaacha kuajiri dereva proffesional kazi zote unataka kufanya wewe.
We unadhani udereva mchezo.

Mpuuzi wewe, naogopa kula ban ila jua nimekushushia matusi mengi tu, kama humjui mtu usichonge domo lako kisa unalo, na ntafrahi nikiskia siku umekufa kwa ajali.
R.I.P dasa SUMA na mauncle zangu
 
Yaani ndo hapo huwa nachoka ! Ukimpinga magufuli kwenye issue ya mizani basi unaonekana nawe una lori! Hivi ni lini tutakuja kukubali plain facts?? malori yanaonekana yanaoverload Tanzania tu yakienda rwanda au zambia yako safi..... du! Tafakari Mtanzania !!!

Hayo ndiyo tunasema watu wanaongea tu bila kujua wanachoongea. Hawasomi, hawatafuti data, hawajishughulishi vyovyote. Wakifika hapa ni kuongea tu.
 
Back
Top Bottom