Ajali: Kampuni ya basi la Newforce imegonga mwendesha bodaboda

Ajali: Kampuni ya basi la Newforce imegonga mwendesha bodaboda

Basi ilo lilikua linatokea tunduma limemgonga mwendesha bodaboda na kumuua hapo hapo

Chanzo cha ajali Bado hakisomeki View attachment 2723296


Tukumbuke wiki hii LATRA wametoka kuwapa onyo la mwsho kampuni iyo lakni kabla ya wiki kuisha basi ilo limepagonga mtu

Nb::😛icha za bodaboda ngumu kutuma maana jamaa amesambaratika View attachment 2723291
View attachment 2723297
View attachment 2723298
Kwa suala la bodaboda, mimi mara nyingi huwa naona wengi wao hawajijali. Chanzo kitaelezwa lakini hawa vijana akili zao ngumu sana kufuata utaratibu
 
vipi baba ako angefanywa hivyo kisha mimi niweke picha zake mtandaoni, ww ungenielewa?
 
Wazee bila kujali nani ana kosa kati ya boda au wa basi, hiyo graphic image itoeni kumsitiri huyo the departed . Tuonyeshane utu jamani.
 
Usafiri wa Bodaboda na bajaj ni hatari Sana sehemu za miji mikubwa , hii ni kutokana na wengi kuendesha bila kufuata Sheria na kanuni za barabarani ...tuendelee kuchukua taadhari
 
Back
Top Bottom