Ajali: Kampuni ya basi la Newforce imegonga mwendesha bodaboda

Ajali: Kampuni ya basi la Newforce imegonga mwendesha bodaboda

Waendesha Bodaboda Mara nyingi huwa hawathamini Usalama wao,,,, Kingine Hawa New force Kila siku kumwaga damu za watu kwann serikari isiliangalie hili???
Anyway Apumnzike Kwa Amani huyo Bodaboda Mungu awatie Nguvu Wafiwa,,
TUNAISHI ALFU TUNAISHA
 
Madereva wote wa mabasi wangerudi kusoma udereva la sivyo kila leo watauwa watu
Lingine police na njaa zao waache kuchukua hela za brashi
Huwajui bodaboda Mkuu? Nina hakika kisababishi ni yeye! Hata uwe na leseni ya kimataifa boda akiamua umgonge hukwepi huo mtego.
 
Ni hatari sana, msimhukumu dereva subirini report dereva zetu wa bodaboda wengi hamna kitu kichwani
 
Ajali imetokea wapi na lini? Tunajua bus limetokea tunduma, hapo Ni wapi?
Mmiliki wa ma bus ya New Force Kama hayuko kwenye bodi ya LATRA Basi Ni MTU mkubwa Sana serikalini lkn pia Ni mchawi.
💯
 
Biashara kwisha, hii ni traffic case, jumba bovu lishaelekezwa kwa marehem tena ukichukulia ni boda

New Force MD jitafakari sana please
 
Biashara kwisha, hii ni traffic case, jumba bovu lishaelekezwa marehem tena ukichukulia ni boda

New Force MD jitafakari sana please
MD wa New Force ameiweka LATRA mfukoni na traffic police kwenye kiganja.
Unajua ukishakula pesa ya mtu bila kuifanyia kazi lazima umpe shikamoo.
 
Umejuaje kuwa ni kulia? Nielimishe watu8

Kwa kutazama upande ambao basi limeumia, ni upande anaokaa dereva tazama kuna hadi taa imeng'oka...

Ukitazama pia mahali pikipiki iiyogongwa na hata mwili wa marehemu ulipolala ni katikati ya mstari wa barabara (hii picha imetolewa sababu kuna mwili wa marehemu)...

Nahisi bodaboda alikuwa ama ana overtake akakutana na basi uso kwa uso au alikuwa anakatiza toka upamde mmoja wa barabara kwenda upande mwingine...
 
Kwa kutazama upande ambao basi limeumia, ni upande anaokaa dereva tazama kuna hadi taa imeng'oka...

Ukitazama pia mahali pikipiki iiyogongwa na hata mwili wa marehemu ulipolala ni katikati ya mstari wa barabara (hii picha imetolewa sababu kuna mwili wa marehemu)...

Nahisi bodaboda alikuwa ama ana overtake akakutqna na basi uso kwa uso au alikuwa anakatiza toka upamde mmoja wa barabara kwenda upande mwingine...
Nimekupata vizuri
 
Basi ilo lilikua linatokea tunduma limemgonga mwendesha bodaboda na kumuua hapo hapo

Chanzo cha ajali Bado hakisomeki

Tukumbuke wiki hii LATRA wametoka kuwapa onyo la mwsho kampuni iyo lakni kabla ya wiki kuisha basi ilo limepagonga mtu

Nb::😛icha za bodaboda ngumu kutuma maana jamaa amesambaratika View attachment 2723291

View attachment 2723298
Jumapili tarehe 30 July 2023- kuna lingine pia linaitwa JMC Express limemuua bodaboda pale Mailimoja Kibaha kwa style ya ajabu sana. Ku-overtake ili kukwepa foleni mida ya saa mbili usiku, dereva wala hakusimama. Yule kaka alisagwa sagwa vibaya sana. Wamiliki wa mabasi sasa wachukuliwe hatua kwa corporate manslaughter nao pia ni wauwaji kwa kuajiri madereva wasio kuwa na weledi na kufanya ajali za kizembe namna hii.
 
Basi ilo lilikua linatokea tunduma limemgonga mwendesha bodaboda na kumuua hapo hapo

Chanzo cha ajali Bado hakisomeki

Tukumbuke wiki hii LATRA wametoka kuwapa onyo la mwsho kampuni iyo lakni kabla ya wiki kuisha basi ilo limepagonga mtu

Nb::😛icha za bodaboda ngumu kutuma maana jamaa amesambaratika View attachment 2723291

View attachment 2723298
LATRA inaubia na Mmiliki wa kampuni hii ( Mchina).
 
Bora ameokoa wengi aliowabeba, Kwa boda boda tumuombee rehema Kwa Mungu, wote ni safari moja
 
Back
Top Bottom